Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,542
- 70,437
Kuna ratiba mkuu sio kila muda anabeba box.Akakuwakilishe..!?
Box atabeba saa ngapi..?
Ooh...Kuna ratiba mkuu sio kila muda anabeba box.
Kumbê hata sio mpigakura. Lissu inabidi aangalie sana hii support ya mitandaoni..
Ni swala lililopo kwenye mchakato, bado ni January 2019 mpaka wakati ukifika urudi hapa uje ujikumbushe hii shudu yako.Kumbê hata sio mpigakura. Lissu inabidi aangalie sana hii support ya mitandaoni..
Hongera ndugu yangu.Hapo chini ni barua pepe niliyopokea juzi ya shukrani kwa mchango wa matibabu ya Mh. Lissu pamoja na mwaliko.
================================
Ndugu,
Habari za leo Nakuandikia kutoa shukrani kwa mchango wako wa matibabu ya Mh. Tundu Lissu. Ningependa pia kukufahamisha kuwa Mh. Lissu atakuwepo USA wiki ijayo. Unakaribishwa ukutane naye. Mh. Lissu atakuwepo Washington DC kwa muda mwingi na ataenda Houston, Texas kwa siku moja.
Kama kuna swali au kutaka kupata taarifa Zaidi wasiliana nami kwenye email au simu 240-423-3331. Soma vipeperushi kwa taarifa ya mikutano ya Mh. Lissu na Watanzania USA.
Nyani Ngabu utaniwakilisha mkuu.
View attachment 1015100View attachment 1015101View attachment 1015102
Sawa ndugu karibuHongera ndugu yangu.
Umepiga hatua moja kubwa katika kutii kiu yako na kuifunua ID yako halisi uliyopewa na wazazi wako.
Mitandao hii ina mengi.Sawa ndugu karibu. Umewahi kutumia gmail lakini?
Kuna sender na recipient ukishindwa kutofautisha sio kazi yangu kukutofautishia.
Mimi sio mediocre kama unavyodhani. Come again.
Haha tupe basi hizo positive IDs za recipients wa huo ujumbe man!Mitandao hii ina mengi.
Ukishatoa sender with a positive ID na content ya email ni rahisi kujua imetumwa kwa kina nani.
Iwe iwavyo ni hatua muhimu...wala sio mediocre...ni matokeo yasiyotarajiwa tu wa matendo yetu.
Ni kama signature zetu za "sent from....using JF App"
Hapo chini ni barua pepe niliyopokea juzi ya shukrani kwa mchango wa matibabu ya Mh. Lissu pamoja na mwaliko.
================================
Ndugu,
Habari za leo Nakuandikia kutoa shukrani kwa mchango wako wa matibabu ya Mh. Tundu Lissu. Ningependa pia kukufahamisha kuwa Mh. Lissu atakuwepo USA wiki ijayo. Unakaribishwa ukutane naye. Mh. Lissu atakuwepo Washington DC kwa muda mwingi na ataenda Houston, Texas kwa siku moja.
Kama kuna swali au kutaka kupata taarifa Zaidi wasiliana nami kwenye email au simu 240-423-3331. Soma vipeperushi kwa taarifa ya mikutano ya Mh. Lissu na Watanzania USA.
Nyani Ngabu utaniwakilisha mkuu.
View attachment 1015100View attachment 1015101View attachment 1015102
Not wise boss....definately not wise.Haha tupe basi hizo positive IDs za recipients wa huo ujumbe man!
Mbona na mimi nimealikwa, lakini nimeamua kutokwenda na kupoteza muda wangu.