Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,498
- 70,291
Hapo chini ni barua pepe niliyopokea juzi ya shukrani kwa mchango wa matibabu ya Mh. Lissu pamoja na mwaliko.
================================
Ndugu,
Habari za leo Nakuandikia kutoa shukrani kwa mchango wako wa matibabu ya Mh. Tundu Lissu. Ningependa pia kukufahamisha kuwa Mh. Lissu atakuwepo USA wiki ijayo. Unakaribishwa ukutane naye. Mh. Lissu atakuwepo Washington DC kwa muda mwingi na ataenda Houston, Texas kwa siku moja.
Kama kuna swali au kutaka kupata taarifa Zaidi wasiliana nami kwenye email au simu 240-423-3331. Soma vipeperushi kwa taarifa ya mikutano ya Mh. Lissu na Watanzania USA.
Nyani Ngabu utaniwakilisha mkuu.
================================
Ndugu,
Habari za leo Nakuandikia kutoa shukrani kwa mchango wako wa matibabu ya Mh. Tundu Lissu. Ningependa pia kukufahamisha kuwa Mh. Lissu atakuwepo USA wiki ijayo. Unakaribishwa ukutane naye. Mh. Lissu atakuwepo Washington DC kwa muda mwingi na ataenda Houston, Texas kwa siku moja.
Kama kuna swali au kutaka kupata taarifa Zaidi wasiliana nami kwenye email au simu 240-423-3331. Soma vipeperushi kwa taarifa ya mikutano ya Mh. Lissu na Watanzania USA.
Nyani Ngabu utaniwakilisha mkuu.