johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,032
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema atawasili nchini Tanzania Jumatano 25 01 2023 saa 13:35 mchana na baada ya mapokezi ataenda Moja kwa Moja kuhutubia Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama chake, hakuna kulala
Tundu Lissu amesema ameshalipwa na Serikali baadhi ya madai yake lakin Bunge bado halijamlipa kiinua mgongo kinachozidi tsh 100 million na bado hajarudishiwa gharama za matibabu anazostahili kisheria
Tundu Antipas Lissu amewaalika Wananchi Wote kwenye huo Mkutano mkubwa wa hadhara
Chanzo: Voice of America VoA
Tundu Lissu amesema ameshalipwa na Serikali baadhi ya madai yake lakin Bunge bado halijamlipa kiinua mgongo kinachozidi tsh 100 million na bado hajarudishiwa gharama za matibabu anazostahili kisheria
Tundu Antipas Lissu amewaalika Wananchi Wote kwenye huo Mkutano mkubwa wa hadhara
Chanzo: Voice of America VoA