Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,489
- 70,277
- Thread starter
- #21
Hongera sana chief.Hata mimi nilipata!
I was honored to receive this special email!
TL afike mbali kwenye mapambano yake ya haki!
Hongera sana chief.Hata mimi nilipata!
I was honored to receive this special email!
TL afike mbali kwenye mapambano yake ya haki!
There's nothing you can do man. Just sit behind that screen and enjoy the show.Not wise boss....definately not wise.
Ni heshima kubwa sana kwako kuonana na Nabii wa Mungu ambaye pia ni Rais ajaye wa TanzaniaHapo chini ni barua pepe niliyopokea juzi ya shukrani kwa mchango wa matibabu ya Mh. Lissu pamoja na mwaliko.
================================
Ndugu,
Habari za leo Nakuandikia kutoa shukrani kwa mchango wako wa matibabu ya Mh. Tundu Lissu. Ningependa pia kukufahamisha kuwa Mh. Lissu atakuwepo USA wiki ijayo. Unakaribishwa ukutane naye. Mh. Lissu atakuwepo Washington DC kwa muda mwingi na ataenda Houston, Texas kwa siku moja.
Kama kuna swali au kutaka kupata taarifa Zaidi wasiliana nami kwenye email au simu 240-423-3331. Soma vipeperushi kwa taarifa ya mikutano ya Mh. Lissu na Watanzania USA.
Nyani Ngabu utaniwakilisha mkuu.
View attachment 1015100View attachment 1015101View attachment 1015102
I aint bragging man.There's nothing you can do man. Just sit behind that screen and enjoy the show.
What use is bragging about crap?
Tuambie ulichangia ngapi na matokeo yako ya juzi umepata division gani baada ya ku resit kwa muda sasa bila mafanikio?Ulitaka nichangie ngapi?
Ha ha ha endelea kujidanganya.Tuambie ulichangia ngapi na matokeo yako ya juzi umepata division gani baada ya ku resit kwa muda sasa bila mafanikio?
Kama hatujauzwa basi tupo sokoni muda huu;
Watanzania kuweni makini na Lisu ataturejesha utumwani.
Ni sawa tumemsikia kwenye interviews lakini hatujui kinachozungumzwa behind doors.
kwa namna anavyotema sumu Lisu yupo Tayari kuungana na yeyote na kufanya chochote alimradi apate madaraka;Huko behind the door na nyie mnasemaje khs Lissu kupigwa risasi za kutosha na ile CCTV iliyoondolewa?
Sent from my iPhone using JamiiForums
AMEN, Muujiza wa Mungu wa kweli.Nikiona Lissu mzima na tabasamu lake siishiwi kumshukuru Mungu aliyerejesha Uhai wake.
Mlipokuwa mnamminia risasi, mliwajali vipi waliompa dhamana ya kuwawakilisha?Naona jamaa anakula tu bata ughaibuni, Amesahau wakazi wake kuwa hata maji safi kwao tabu, Kumejaa nyumba za tembe, Lakini ndio ivo tena waliompa dhamana hana muda nao
kwa namna anavyotema sumu Lisu yupo Tayari kuungana na yeyote na kufanya chochote alimradi apate madaraka;
He is desperate!!
Na ukiwa desperate huwezi fanya maamuzi sahihi.
Umealika magogoni mkale madafu. Huwezi alikwa hata kwenye tawi la updp, labda kwa wasiojulikana tu.Mbona na mimi nimealikwa, lakini nimeamua kutokwenda na kupoteza muda wangu.
Sasa unakataa nini wewe?Umealika magogoni mkale madafu. Huwezi alikwa hata kwenye tawi la updp, labda kwa wasiojulikana tu.
Unatutangazia ili iweje na wewe ni wale wakuwashwawashwa tu?Sasa unakataa nini wewe?