MzungukoMnangani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 303
- 82
Tuliokuelewa tumekuelewa mkuu
Naishi peke yangu ndani ya nyumba,me,just one person. Kwa hiyo hakuna utata,hakuna confusion kuhusu mlinzi anapotumwa kuja pale kulinda. Kazi take anakuja kunilinda mimi. Sasa ni kazi gani hiyo waliyokuwa wanafanya walinzi ya kuwaokoa watoto nisiwape chakula. Nilikuwa nimeshika sahani wakatokea wale walinzi,wakasema hawa watoto wanatafutwa na wazazi wao. Tumetoka nje nimekuta wazazi hawapo. Basi huyu mlinzi anatafuta fimbo ya kuwachapa watoto. Mimi nikasema I must go to report this. Halafu nikasema,hapana,nitasubiri hapa nikuone unampiga mtoto. Nataka kujua nimwambie mini Chikawe. Kwa hiyo utaona kwamba hakuna jeshi pale,wale watu ni wahuni. Wanajeshi sheria zao kidogo sana. Ukishaona mwanajeshi unamtaja afande wake,hiyo mwanajeshi anapiga miayo,basi ujue huyo siyo mwanajeshi. Hiyo ni jambazi sugu.
Wamewaingia walinzi ndani ya nyumba wanasema wameona watoto wanaenda kwa Andrew.wanataka waende kuwakamata. Wale watumishi badala ya kusema mmewaona watoto wanaenda kwa Andrew,so what? Wale watumishi wameandana na walinzi kuja kunikamata .Basi,mimi nimeondoka. It is illegal kwa watumishi kunifukuza. But that is what has happened. Wataamka asubuhi and they will laugh about it,but it is illegal. Kwa ninsi ninavyozifahamu sheria za jeshi ambazo nimesema zipo kidogo sana,20 au 30,what they have is treason,high treason.
Kila siku huwa najitahidi kuelewa anachoandika huyu jamaa.Nashindwa
Hivi nyie mliomuelewa mbona hamfanui anachoongea. Kwa tu hata upangiliaji wake haupo kifasihi sasa nashangaa watu wanaoita fasihi sijui wanongelea fasihi yaaina gani? Kwa rate ya vilaza wa humu jamii forums kila mmoja anajifanya kamuelewa kisa tu kuna keyword ya nenono linalowapa mihemko "Louwa...." teh tehJisalimishe:what:
Dakika chache kabla ya Makamu wa Rais.Gharib Bilal kufika Mwitongo,wamefika wasichana watatu wa primary school kuniomba chakula. Nimechukua sahani niende kuwapakulia chakula,ghafla wamefika FFU,nadhani alikuwa FFU mmoja,amevaa bullet proof vest,kaondoka nao,kaenda kuwachapa viboko,watoto wananiambia wamechapwa fimbo kumi kila mmoja.Basi,na Miminimeondoka.nimenunua tiketi ya Dar. Kesho narudi Dar.Nimefukuzwa,nimeitwa mbakaji. Hapo mahali walikuwepo wageni wengi,lakini wamekuja hao polisi.ambao ndiyo wale wale waliotumwa kwenda Mwitongo mahsusi kwa kumlinda Andrew.Walikuwepo wageni,Makamu wa Rais,mawaziri kutoka Kenya,mawaziri kutoka Tanzania.Mawazo yangu kuhusu hili jambo.? Nataka Lowassa ashinde uchaguzi.
wajinga wengi dunian ukiwemo wewe,tena tunakuhakikishia kabla uchaguz haujapta utakuwa umekula miaka mia jera!
huyu jamaa ni mshairi mzuri na ni wachache watamuelewa kwa ustadi wake huu wa kucheza na lugha
halafu nasikia ni kijana mkubwa tu....