Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,526
May she rest in eternal peace. Pole sana.
Wakuu nimefiwa na mama yangu mzazi aliyekuwa mgonjwa wa kitandani(bedridden) kwa muda wa mwaka na nusu.
Nilikwambia zamani kuwa tutakuwa tunafahamiana baada ya kusoma watu wengi unaowaongelea.
Tupo sote na kesho InshaAllah ntakuwepo mchana. Mwenyeezi amrehem, aturehem na sisi ambao tupo njiani kuelekea huko.
Mwenyeezi Mungu awape subra wote.