Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Pole sana mkuu. Mwenyezi Mungu akupeni nguvu.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Wakuu naishi Upanga mtaa wa Mindu plot 480 kutakuwa na lunch Jumatatu saa saba na nusu(siku ya tatu)wote mnakaribishwa sana.
Wakuu nimefiwa na mama yangu mzazi aliyekuwa mgonjwa wa kitandani(bedridden) kwa muda wa mwaka na nusu.
Wakuu nimefiwa na mama yangu mzazi aliyekuwa mgonjwa wa kitandani(bedridden) kwa muda wa mwaka na nusu.
Wakuu nimefiwa na mama yangu mzazi aliyekuwa mgonjwa wa kitandani(bedridden) kwa muda wa mwaka na nusu.