KENY THOMAS
Member
- Sep 14, 2017
- 58
- 71
Pole sana Chief.
Pole sana Mkuu..Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Kuna waraka wowote unaokataza swali langu kuwepo hapa?Unahisi hapa ni sehemu sahihi kwa hili swali lako?
Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumuiHabari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Poleni sana! Mwenyezi Mungu awake faraja wakati huu mgumu. Mzee wetu apumzike kwa Amani!Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Pole sana mdauHabari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba.
Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida"
Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita ktk kipindi gani.
Nawapenda na Mungu Awabariki.
Hakika hapatakuwa na mtoajikwann useme mzee wetu akiwa kafariki, akati unamuuguza ulimwambia nn
kifo ni sherehe tulitakiwa tushiriki kuuguza ndg
Muhimu kuichukua hii, watu wanaambukizwa sana misibani.Pole sana...
Chukueni tahadhari zote za afya huko msibani, nimeshuhudia watu wakipata "hili dudumizi" kupitia shughuli za misiba kiasi familia moja wanajipata wanaandamwa na misiba isiyokoma...