Mfuate KAFULILA ALIPO SASAKwani ugomvi?si mumuache na uamuzi wake.Uhuru was kujielezea huko wapiiii?
Mfuate KAFULILA ALIPO SASAKwani ugomvi?si mumuache na uamuzi wake.Uhuru was kujielezea huko wapiiii?
Uzuri au ubaya.umeme ukipanda wote tumo,maji yakipanda wote tumo,unga ukipanda wote tumo.kwa hiyo unajisumbua tu.alafu.naona mngerudisha mfumo wa chama kimojaMuziki anaowapelekesha Magufuli hakika mtaomba pooooo. Hadi 2020 Ilani yote ya CCM itakuwa imetekelezwa. Tunaahidi na tunatenda
Watu walijitoa Ufahamu kwenye offer ya Mwaka jana ya Kuitupa ccm chali2020 sijui itakuaje maana nadhan ya DRC yakuzima mitandao yanaweza kufanyika
Hakuna sharti lolote linalomtaka mwana-CCM kuthibitisha uhai wa uanachama wake kwa kuanzisha mijadala ya kuisupport CCM Jamii Forums. Muache mwenzio apumzike bila bugudha kama marais wa zamani.Hata Kafulila wakati anahama CHADEMA mwaka 2009 alikuwa na tambo nyingi. Leo huyooo karejea. By the way who are you? Unaweza kunieleza ni mijadala gani umeanzisha humu kuisupport CCM?
OK hongera kwa kujiondoa huko.....Anza kwa kubadili signature.Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa i. ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa ii. ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane). iii. kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini iv. kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na v. elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena
Mnamtekelezea nani na tusivyowataka,kwanza hamkushinda mmetumia goli la mkonoUzuri au ubaya.umeme ukipanda wote tumo,maji yakipanda wote tumo,unga ukipanda wote tumo.kwa hiyo unajisumbua tu.alafu.naona mngerudisha mfumo wa chama kimoja
kujitoa kwako ni sawa na kuchota ndoo moja baharini au kumvua dagaa mmoja z/victoria,,is there any -ve impact?Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa i. ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa ii. ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane). iii. kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini iv. kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na v. elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena
Ila angesema ana hama chadema mngefurahi.jifunzeni kupokea huzuni sawa na furaha.Mfuate KAFULILA ALIPO SASA
Dikteta chipukizi huyu hataki mwenzie atoke chamani.Kwani ugomvi?si mumuache na uamuzi wake.Uhuru was kujielezea huko wapiiii?
Ngoja nijitolee nikusaidie kuweka thread alizoanzisha, cheki hizi hapa chini;By the way who are you? (Kansigo?) Unaweza kunieleza ni mijadala gani umeanzisha humu kuisupport CCM?
kujitoa kwako ni sawa na kuchota ndoo moja baharini au kumvua dagaa mmoja z/victoria,,is there any -ve impact?
Nakutakia mafanikio mema huko uendako.Nina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
Wezi kwa kugeuza kibao ndio wenyeweMnamtekelezea nani na tusivyowataka,kwanza hamkushinda mmetumia goli la mkono
kasemajenimemsikiliza komredi sendeka kwenye taharifa ya habari itv usiku huu alivyokuwa anasema!
Nikasema Mungu Awape hekima hawa viongozi wetu maana hekima ni njema sana ikiwa ndani ya mtu hasa viongozi wetu kuliko kutumia miguvu.
no time argument,,,you just go where you c is gud to you but tribalism is the main xstics of chademaWewe ulipojiunga na CCM ilikuwa sawa na kumchukua dagaa mmoja na kumpeleka baharini; was there any impact?
GO TO HELLNina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.
HATA MIMISijawahi kuipenda ccm.tangu natoka kwenye tumbo LA mama yangu mzazi.na sitokuja kuipenda.
wacha tambo ccm haina mwanachama sampuli yako. kama kweli weka kadi namba tarehe na tawiNina sababu kadhaa kwanini naamua kujitoa CCM na kutoendelea kuisapoti serikali yake hii ya awamu ya tano.Nina sababu kadhaa;
i. Ubabe na vitisho vya viongozi kuanzia ofisi kuu hadi watendaji wa chini, wote wamekuwa wababe na wanataka waabudiwe na kudujudiwa
ii. Ukandamizaji wa demokrasia na uhuru wa kutoa maono ( ref kesi ya Melo, Lema na Ben saanane).
iii. Kuvurugwa kwa elimu kunakoendelea mf. kuwanyima mikopo ya elimu ya juu watoto wa kimaskini
iv. Kusitisha ajira kwa maelfu ya vijana wa kimaskini tofauti na kipindi cha JK! na
v. Elements za udini na ukanda-ukabila Sitaki kuisikia tena CCM, nilikuwa mpiganaji mkubwa. wa ccm! ila yanayoendelea kwa sasa sina hamu tena.