rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,573
- 42,160
ukiona hivyo tatizo sio kuulizwa kama amefika kuna Tatizo kubwa lipo nyuma ya paziaaa linamfanya jamaa akose amani.Daaaaah aseee hao wake zenu mnaishi nao vp? Issue ndogo kama hiyo umeshupaza misuli why?!!!!!
Mpigie mkeo msalimie mjulishe kuwa umefika salama joh!
Halafu hii issue ya ULALAMISHI kupita kiasi Haina afya kwa ndoa.