huo mguu kwenye avatar ni wako?
mi ni mpaka rangi kucha nipo tayari kukupaka bure.Ndiyo
Hahahahhahahahahahaa nitakutafuta siku moja unipake mkuu...ila usiwe unafanya bure maana ni hasarami ni mpaka rangi kucha nipo tayari kukupaka bure.
Hzi rangi umepaka lini Dada??Ulivaa sana high heels mpaka sikuziona.Hahahahhahahahahahaa nitakutafuta siku moja unipake mkuu...ila usiwe unafanya bure maana ni hasara
Nilipaka siku ile kulikuwa na kikao cha familia kaka halafu nilivaa raba ndo maana hukuziona hahahahahahHzi rangi umepaka lini Dada??Ulivaa sana high heels mpaka sikuziona.
Next tym niambie nikupeleke kwa yule jamaa etu naonaga anapaka huyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua wewe sio mzoefu nimeshangaa sana kuona zimependeza vidoleni .Nikajua wale jamaa zetu wenye taaluma yao walipita nyumbaniNilipaka siku ile kulikuwa na kikao cha familia kaka halafu nilivaa raba ndo maana hukuziona hahahahahah
Ngoja zikiisha nitakwambia unipeleke anipake vizuuri maana me siyo mzoefu
Hapana kaka hiyo nilipaka paka tu mwenyewe wenye taaluma zao hata sijawazoeaNajua wewe sio mzoefu nimeshangaa sana kuona zimependeza vidoleni .Nikajua wale jamaa zetu wenye taaluma yao walipita nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wadau: niende kwenye mada.
Jana ilikuwa siku maalumu kwangu baada ya kuahidiwa papuchi kwa muda mrefu kidogo, lakini nasikitika kilichonitokea sijawahi kukiona, kifupi nilikuwa na binti mmoja hivi ambae nilimfukuzia kwa miaka kama miwili hivi,,,basi siku ya Jumatano tulipeana promise kwamba jana tukutane lodge fulani hapa mjini,,, mambo yalikuwa hivi,,,, baada ya kuingia room nilianza kumpapasa hapa na pale lakini dushe halisimami nikajiuliza tatizo nini, ofcourse demu ni mkali sana, nilishindwa kung'amua tatizo ni nini, baada ya kama nusu saa hali ilirejea kawaida, nilivyoingiza kichwa cha dushe tu nikahisi kama wazungu wanakuja, kwa hofu ya kuabika nikachomoa fasta, lakini wapi wazungu walifika bila hodi, nilipata wasiwasi sana, yule binti angenionaje ukizingatia gharama niliotumia ni kubwa mpaka kumpata, ongezea na ya kulipia lodge kiukweli nilijutia kuwa na yule demu maeneo yale, kwa sauti ya upole nilisikia demu akiniuliza baby mbona huingizi kwan umekuaje ? Nilishindwa nimjibuje nikaishia kujisonya sonya tu, niliamua kumwambia tu samahan baby naomba tutafanya siku nyingne leo naumwa.
Ushauri wenu wapendwa hili litakuwa tatizo gani au ni kawaida?
Hahaha na usiwazoee dada mana naona wameshaanza kuja.Hapana kaka hiyo nilipaka paka tu mwenyewe wenye taaluma zao hata sijawazoea
we mzee nakukubali kweli na post zako zenye muelekeo wa lile tatizo la nguvu za kiume.maana ni nyingi kweli.. ndiyo wewe uliyemwagaga nje kabla ya dushe kuingia kumbe.pole mkuu. uwage unapunguza munkari kwa demu unaeenda kukutana naye,pia acha akili irelax,usikamie gemu sana,kula vizuri ushibe na kama unatumia kakinywaji kabia kidogo siyo mbaya ....uwe na muda wa peke yako walau lisaa limoja kabla ya mechi..hahahahahaaa mbona ukienda kwenye mpambano utaipenda showHabari zenu wadau: niende kwenye mada.
Jana ilikuwa siku maalumu kwangu baada ya kuahidiwa papuchi kwa muda mrefu kidogo, lakini nasikitika kilichonitokea sijawahi kukiona, kifupi nilikuwa na binti mmoja hivi ambae nilimfukuzia kwa miaka kama miwili hivi,,,basi siku ya Jumatano tulipeana promise kwamba jana tukutane lodge fulani hapa mjini,,, mambo yalikuwa hivi,,,, baada ya kuingia room nilianza kumpapasa hapa na pale lakini dushe halisimami nikajiuliza tatizo nini, ofcourse demu ni mkali sana, nilishindwa kung'amua tatizo ni nini, baada ya kama nusu saa hali ilirejea kawaida, nilivyoingiza kichwa cha dushe tu nikahisi kama wazungu wanakuja, kwa hofu ya kuabika nikachomoa fasta, lakini wapi wazungu walifika bila hodi, nilipata wasiwasi sana, yule binti angenionaje ukizingatia gharama niliotumia ni kubwa mpaka kumpata, ongezea na ya kulipia lodge kiukweli nilijutia kuwa na yule demu maeneo yale, kwa sauti ya upole nilisikia demu akiniuliza baby mbona huingizi kwan umekuaje ? Nilishindwa nimjibuje nikaishia kujisonya sonya tu, niliamua kumwambia tu samahan baby naomba tutafanya siku nyingne leo naumwa.
Ushauri wenu wapendwa hili litakuwa tatizo gani au ni kawaida?
Ukhanithi.Habari zenu wadau: niende kwenye mada.
Jana ilikuwa siku maalumu kwangu baada ya kuahidiwa papuchi kwa muda mrefu kidogo, lakini nasikitika kilichonitokea sijawahi kukiona, kifupi nilikuwa na binti mmoja hivi ambae nilimfukuzia kwa miaka kama miwili hivi,,,basi siku ya Jumatano tulipeana promise kwamba jana tukutane lodge fulani hapa mjini,,, mambo yalikuwa hivi,,,, baada ya kuingia room nilianza kumpapasa hapa na pale lakini dushe halisimami nikajiuliza tatizo nini, ofcourse demu ni mkali sana, nilishindwa kung'amua tatizo ni nini, baada ya kama nusu saa hali ilirejea kawaida, nilivyoingiza kichwa cha dushe tu nikahisi kama wazungu wanakuja, kwa hofu ya kuabika nikachomoa fasta, lakini wapi wazungu walifika bila hodi, nilipata wasiwasi sana, yule binti angenionaje ukizingatia gharama niliotumia ni kubwa mpaka kumpata, ongezea na ya kulipia lodge kiukweli nilijutia kuwa na yule demu maeneo yale, kwa sauti ya upole nilisikia demu akiniuliza baby mbona huingizi kwan umekuaje ? Nilishindwa nimjibuje nikaishia kujisonya sonya tu, niliamua kumwambia tu samahan baby naomba tutafanya siku nyingne leo naumwa.
Ushauri wenu wapendwa hili litakuwa tatizo gani au ni kawaida?
Natural remedies ni zip?Hayo madawa ya dukani sio mkuu.Jaribu kumuona daktari akupe ushauri kabla ya kuanza kutumia au tumia natural remedies zinaweza kukusaidia.Nina rafiki yangu ni polisi yamemlemaza kabisa hawezi kupiga game bila kumeza erecto.Ukishatumia baada ya muda utajuta nakwambia.
Hahaha mdogo wangu hao ni wakuwapuuzia kabisa...Hahahahahahah sawa kaka sitawazoea kabisa.... kuna mmoja ameniambia atanipaka bure