Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,137
4,206
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.

This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda...
Mi nilikuwa napata sup bar fulani hapa mtaani, mhudumu alikuwa amefungu tbc. Niliposhuhudia yale masifa, ghafla nilitapika. Sup yangu yote imetoka. Ndio nimeondoka hapo kama dk 20 hivi zilizopita.
 
Inawezekana kuwa ni mawazo ya walimu,ingawa pia watu siku hizi wanalishwa ujumbe.
Na zaidi kundi la walimu lilivyo na shida ukiondoa heshima tu kwa rais nafikiri hawangeshiriki kabisa.
Wakurugenzi huwa wanatuma sms kutishia Mwalimu asiyehudhuria( tukio ambalo yupo mkuu) hatua kali zitachukuliwa..utasikia tutaandika majina ya wote waliohudhuria( utadhani watoto).

Basi kwa tishio kama hilo wanahudhuria wa kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom