cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,424
Kabisaaah.Sasa mwanamke wa miaka 49 ateswe na mapenzi kwanini? Huyo atakuwa bado ana akili za kitoto.
Kabisaaah.Sasa mwanamke wa miaka 49 ateswe na mapenzi kwanini? Huyo atakuwa bado ana akili za kitoto.
Na 2030 ratio ni mwanaume 1 kwa wanawake 15. Kazi mnayo wanawake. Mzichague sana stock n chacheNimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.
Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?
Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Ndo nawaza iwejeiweje yaanKaa njia kuu
Ridhika nazoNdo nawaza iwejeiweje yaan
Asante kwa ushauriRidhika nazo
Umeupiga mwingi sanaNimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.
Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?
Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.