Nimefanya Utafiti wangu huu Binafsi Je, nipo sahihi nao au niendelee Kuufanya zaidi?

Nimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.

Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?

Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Na 2030 ratio ni mwanaume 1 kwa wanawake 15. Kazi mnayo wanawake. Mzichague sana stock n chache

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Nimegundua ya kwamba 95% ya Wanawake wenye Umri kati ya miaka 35 mpaka miaka 49 ndiyo Wanateseka zaidi na Mahusiano waliyonayo sasa na wengi Wao huko nyuma waliwapata Wapenzi ( Marafiki ) wa dhati wa Kimaisha ila waliwakataa na Kuwadharau kwakuwa walikuwa hawana Kipato ( Pesa ) na Kukimbilia Wanaume wenye Pesa ( Kipato ) ambao ndiyo 'wamewajeruhi' sana Kimahusiano.

Je, GENTAMYCINE kwa Utafiti wangu huu Binafsi nami nimepatia ( nimeupiga mwingi ) kama Siku 100 za Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan au niendelee Kufanya Utafiti zaidi ili pengine niyajue na mengineyo?

Poleni sana 'Wanawake' wa Umri tajwa.
Umeupiga mwingi sana
 
Back
Top Bottom