Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
R.I.P DANYA

USHAURI
Kama hujaoa post thread ya kutafuta mke uoe mapemaa
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Niache chata mapemaaa eeh
 
Kama ulitumia kondomu na haikupasuka acha uoga mkuu.

Kama kila anayefanya mapenzi na muathirika kwa UKIMWI angekuwa anaupata UKIMWI , nafikiri wanaume wengi sana wa Dar wangekuwa washakufa.

Umeshawahi kukaa maeneo yaliyoko karibu na madanguro?? kila baada ya dakika 1 lazima mtu anaingia kula mzigo na ni kuanzia asubuhi mpaka uski wa saa 6 sasa kama ni hivyo kwa rate ile waaathirika wangekuwa wengi sana mjini.

Ishi kwa amani tu ila acha zinaa ni mbaya sana.
Tthankx kwa ushauri
 
Habari wakuu,

Juzi kati hapa nilikuwa na mzuka sana wa kufanya mapenzi Bahati nzuri kuna msichana akajilengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa Huyo dada ni Ameathirika na Ukimwi Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?

Nipo katika pressure kubwa, kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote Ule!

Je kufanya mapenzi na mtu muathirika means na mimi nimeshaupata au vipi?

Msaada tafadhali
Nenda angaza ukapate ushauri nasaha
 
Bro. Pole sana! Kama umefanya mapenzi bila ku2mia kinga na m2 wenye vvu. Unaweza wahi hospitalin na kupewa dawa (ARVs) maalum ambazo dose yake n ya siku 28 (post exposure prophylaxis). Bit inabid ukidhi vigezo viguatavyo
1.utafanya kipimo cha vvu ndan ya misaa 72 baada ya kujamiana ,kikiwa negative ndipo utaanza ku2mia hio dose ya siku 28 na kama kipimo kikiwa positive manake ww mwenyewe ulikua na vvu, so utaanza dawa for life kama utaridhia
-kama ni masaa 72 yakishapita itabid usubir kufanya kipimo cha vvu ilikujua kama umeambukizwa au la,na hilo ni baada ya wiki 6 na miezi 3
 
ayaaaaaaaaaaa,daaaaaaaaaa,ushakufa mkuu,na virusi vya siku hizi vina sifa balaa,vinatoboa hadi kondomu,sali sala ya toba mkuu,nitakuchangia hela ya sanda mkuu,,ukianza kujinyea tu ni-pm mkuu nitume mchango wangu
 
Mwaka 2004 kuna dada alikuwa ameathirika nikaingia nae mpaka ghetto, nilimlazimisha nilipiga magoti nilimuomba mpaka nilitia huruma lakini sikupewa papuchi.
-Baadae alimpa ujumbe rafiki yangu aniletee kwamba ameathirika na hakutaka kuniambukiza mimi supermarket.
*dem alikuwa kicheche kila mtu anampa lakini mimi alininyima*
 
Brother uko salama Muombe Mungu akusaidie nakupa moyo kapime tuu but kama ulitumia mpira hakuna uwezekano wakupata maambukizi
 
Swali kama hili angeuliza mtoto wa darasa la nne bado ningemshangaa...

Hivi ni kweli mpk leo watu hawajui maambukizi ya HIV yanapatikanaje??

Anyway... mi nakushauri chemsha maji ya moto afu ulimwagie hilo dushe lako kabla wadudu hawajasambaa mwilini.
adhabu mwanana kwa mjivuni huyu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Habari wakuu,

Juzi kati hapa nilikuwa na mzuka sana wa kufanya mapenzi Bahati nzuri kuna msichana akajilengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa Huyo dada ni Ameathirika na Ukimwi Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?

Nipo katika pressure kubwa, kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote Ule!

Je kufanya mapenzi na mtu muathirika means na mimi nimeshaupata au vipi?

Msaada tafadhali
Kama haijazidi masaa 72, tangu ufanye mapenzi ni PM,ila kama imezidi ww anza kutumia ARV tuuu
 
DUUU HAPO NDIO BASI TENA ANZA KUANDIKA WOSIA TU


belionea;
Nakuunga mkono kabisa. Tena aandike fasta na historia yake isomwe mapema kuwa; Kwa akili yake timamu, aliingia kwa mwanamke aliyemdhania ni msichana, tena akijua ni muathirika akaingia ati kwa kuwa alikuwa na mifuko ya rambo mfukoni. Sasa, analo na mauti tiyari.
 
Back
Top Bottom