Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

Eti ulitumia kinga na huna mchubuko? Tatizo ulipiga kavu ndo maana unaumia. Kapime after 3 months ili uanze donzi
 
Kama ulifanya na kondom umepata ukimwi
Ni bora usingetumia kondom wala usingepata ukimwi
Ila kwa sasa tayar unao anza tu kuzingatia balance diet

Na unavyosema huna michubuko,
Kuna michubuko isiyoonekana na huwezi hata kuihisi hata kama ukiweka chumvi

Mi nilishatembea na mwenye HIV bila condom na bahati nzuri Mungu alinisaidia sikupata sa hivi nimetuliza sana.

Nilikaa mwezi minne mawazo
Nikaamua kwenda kupima sina sikuamini nilipima mara nyingi kweli
Hapo napingana na ww,nnavyoelewa Mm ukiwa na kamchubuko kidogo tuu kitendo cha kwenda kuoga lzm usikie maumivu fulani hivi,mwanaume % za kupata ngwengwe ni ndogo Sana tofauti na mwanamke na hio yote inasababishwa na maumbile
 
Virusi vina resist kwenye Joto la kawaida below 100c au hiyo imani tuuu najua virus anaweza exist as living and non living thing hayo maji ya moto yatafanya kazi kweli?
haha sasa tumshauri vp for example aka banike Urungu{Dushe}**[emoji23]
 
chukua spirit ile ya kijani lipake dushe unaua virusi wote mi natumia njia hii
 
Ulijuaje kwamba kaasirika harafa ukafanya nae mapenzi?
 
Na nyie wanaume wa mikoani mmezidi ushamba kwani huko amfundishwi jinsi ukimwi unavyoambukizwa?
 
unatumia condom ya nini piga kavu ndo unapata raha bana raha ya pipi ule bila ganda
 
Ulilofanya ni kosa kubwa kufanya bila kinga angali ukifahamu mwenzio ana tatizo. Pia huo ni uzinzi na ni dhambi kaka. Anyway kufanya tendo na mtu aliyeathirika hakufanyi wewe kuathirika kama hakuna mchubuko wowote uliotokea ambapo mchubuko wowote huruhusu damu au maji ya sehemu za siri kupitia mchubuko huo kuleta maambukizi. Nenda kituo cha afya angalia afya yako ili upate uhakika na kuwa tayari kupokea majibu. Kuathirika sio kifo. Watu wanaishi miaka mingi na kutimiza ndoto zao. Zaidi ishi maisha ya kumwogopa Mungu kwani hicho kitendo ulichofanya ni uzinzi na ni dhambi. Tafuta kutubu. Mungu akusaidie unielewe.
 
condom ni kwa 98% contraceptive method ya HIV, nakama haikupasuka wala kutokea mchubuko wowote bs amsure utakua umepoa, labda kama wew niliongo!
 
Back
Top Bottom