Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

Siku moja tu unapiga kelele,wenzio wapo nao ndani! Kama vp,muite tena...
 
Habari wakuu,

Juzi kati hapa nilikuwa na mzuka sana wa kufanya mapenzi bahati nzuri kuna msichana akajilengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa huyo dada ni ameathirika na UKIMWI, Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?

Nipo katika pressure kubwa, kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote ule.
Z
Je kufanya mapenzi na mtu muathirika means na mimi nimeshaupata au vipi?

Msaada tafadhali.

Mleta uzi na wachangiaji wote mmeingia chaka. Nawaulizeni swali dogo lifuatalo
Udhaifu wa Kinga MWIlini ( UKIMWI)unaambukiza? Mwili wako ukiwa dhaifu, yaani hauwezi kupambana na magonjwa utamuambukizaje mtu mwingine?

Binadamu Tazama vizuri, fikiri kwanza
, uliza ujue.
Akili kichwani.

 
Mods msaidieni kurekebisha title, wekeni neno ngono badala ya mapenzi.
 
ukute unao hata kabla ya kufanya na huyo dada
dawa ni kupima
 
Je,ukinyonywa dushe na muathirika?
sasa hyo dushe ananyonya vp mpka imchubue mdomo na dushe ichubuke kupitisha hvo virus......by the way mate ya enzymes ambazo haziruhusu kabisa virusi kujiachia. ko ni ngumu njia hyo kuambukiza HIV
 
Habari wakuu,

Juzi kati hapa nilikuwa na mzuka sana wa kufanya mapenzi bahati nzuri kuna msichana akajilengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa huyo dada ni ameathirika na UKIMWI, Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?

Nipo katika pressure kubwa, kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote ule.

Je kufanya mapenzi na mtu muathirika means na mimi nimeshaupata au vipi?

Msaada tafadhali.
Kwa nini usiende kupima upate jibu? Humu wenzako watakukejeli tu sijui ndicho unachokitaka.
 
sasa hyo dushe ananyonya vp mpka imchubue mdomo na dushe ichubuke kupitisha hvo virus......by the way mate ya enzymes ambazo haziruhusu kabisa virusi kujiachia. ko ni ngumu njia hyo kuambukiza HIV
Ni vigumu kuambukizwa but inawezekana pia si ndio mkuu?
 
Habari wakuu,

Juzi kati hapa nilikuwa na mzuka sana wa kufanya mapenzi bahati nzuri kuna msichana akajilengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa huyo dada ni ameathirika na UKIMWI, Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?

Nipo katika pressure kubwa, kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote ule.

Je kufanya mapenzi na mtu muathirika means na mimi nimeshaupata au vipi?

Msaada tafadhali.
Na iyo kondom ulivyokua unavaa ulikua unavaa ya nn?
 
Ni vigumu kuambukizwa but inawezekana pia si ndio mkuu?

Ingekuwa ameupata kuna dalili za awali kabisa ambazo zingeonekana ndani ya kipindi cha wiki moja hadi Tatu ambazo kitaalamu wanaita kipindi cha SEROCONVERSION. Zinatokana na kitu kigeni (HIV) Kuingia mwilini.
Dalili hizo ni Kama zile za Heavy Flu ambazo ni pamoja na homa kali, maumivu ya kichwa, mafua, mitoki, na night sweats.
 
Sio lazima! Ilishawahi nitokea pia nilitembea na dem ambae ameathirika two times ila kwa kutumia kinga.. Na juzi kati nimepima nipo fresh! Cheki moja ya thread yangu nimeweka test result.
 
Ingekuwa ameupata kuna dalili za awali kabisa ambazo zingeonekana ndani ya kipindi cha wiki moja hadi Tatu ambazo kitaalamu wanaita kipindi cha SEROCONVERSION. Zinatokana na kitu kigeni (HIV) Kuingia mwilini.
Dalili hizo ni Kama zile za Heavy Flu ambazo ni pamoja na homa kali, maumivu ya kichwa, mafua, mitoki, na night sweats.

The Rapid test is just as accurate as a Standard HIV test. If you test negative, then you do not require any further tests. ... The Standard HIV test detects HIV antibodies in the blood. As with the Rapid test, most guys (about 90%) will develop enough HIV antibodies to be detected three to four weeks after infection.
 
Swali la kijinga kwa mtu mzima kama wewe,wewe ndio ulitembea nae halafu unatuuliza sisi ambao hatukuwepo kwenye eneo la tukio!! Ututakii mema wewe!!
 
Back
Top Bottom