ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,683
- Thread starter
- #41
Means nisha ukwaa?lala kwa amani
Means nisha ukwaa?lala kwa amani
Andika wosia
nipo mwaego.............za toka jana?Hahahahaa... kiongozi upo??
Tumshauri huyu dogo namna ya kupambana na hivi virusi visivyo na adabu kwenye via vya uzazi.
Poa sana. Bado naendelea vema na kazi iliyonileta hapa duniani... kusimamia vijana wasihangamiem kwa kukosa maarifa.nipo mwaego.............za toka jana?
Kujipa moyo nikitu kikuzuri sana,ila usijifananishe na wenzio,kila mtu na bahati yake na ndio mana vidole vyetu havifanani..Nitapiga moyo Konde watu wana gegeda wadada 50 na hawapati sembuse mm siku moja
utakufa na preshaMeans nisha ukwaa?
hahahah shaaabash hata babu wa loliondio umempikuPoa sana. Bado naendelea vema na kazi iliyonileta hapa duniani... kusimamia vijana wasihangamiem kwa kukosa maarifa.
Somo la leo linahusu namna ya kutumia maji moto kujiepusha na maambukizi ya HIV
Kama ulitumia kondomu na haikupasuka acha uoga mkuu.Habari
Juzi kati hapa nilikuwa namzuka sana wa kufanya mapenzi Bahati nzuri kuna msichana akajirengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa Huyo dada ni Ameathirika na Ukimwi Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?
Nipo katika pressure kubwa,kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote Ule!
Je kufanya mapnzi na mtu muathirika means na mimi nimesha upata au vipi? Msaada tafadhari
Mkuu we ni daktariUsimtishe bhana....... Aje tu nimpime
Nenda tu hvyo hivyo kigumuHiyo sijaelewa nimekwambia juzi masaa 72 yameshapita hapo vipi