Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

Nimefanya mapenzi na mtu mwenye UKIMWI

Swali kama hili angeuliza mtoto wa darasa la nne bado ningemshangaa...

Hivi ni kweli mpk leo watu hawajui maambukizi ya HIV yanapatikanaje??

Anyway... mi nakushauri chemsha maji ya moto afu ulimwagie hilo dushe lako kabla wadudu hawajasambaa mwilini.
Virusi vina resist kwenye Joto la kawaida below 100c au hiyo imani tuuu najua virus anaweza exist as living and non living thing hayo maji ya moto yatafanya kazi kweli?
 
Habari

Juzi kati hapa nilikuwa namzuka sana wa kufanya mapenzi Bahati nzuri kuna msichana akajirengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa Huyo dada ni Ameathirika na Ukimwi Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?

Nipo katika pressure kubwa,kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote Ule!

Je kufanya mapnzi na mtu muathirika means na mimi nimesha upata au vipi? Msaada tafadhari
Acha ujinga kapime!
 
Nimecheka leo na Majibu ya watu humu,Mkuu vyo vyote itakavyokua ndio maandika yako ila sema na hisia zako una seem kuziendekeza sanaa, vuta subra halafu ukapime,nakuomba uwe na ushajaa kama uliokua nao wakati unamsomesha huyo
mdada mpaka akakubali basi sema na nafsi yako ukapime please.
Nitapiga moyo Konde watu wana gegeda wadada 50 na hawapati sembuse mm siku moja
 
Virusi vina resist kwenye Joto la kawaida below 100c au hiyo imani tuuu najua virus anaweza exist as living and non living thing hayo maji ya moto yatafanya kazi kweli?
We kafanye kama nlivyokushauri. Acha ubishi. Shauri zako... vikifika kwenye korodani utalazimika kuyaoka kama firigisi kwenye mafuta ya chipsi.
 
Una presha tu.
Mbona mi' ndiyo zangu hizo!
Ndiyo pakuponea humo.
Nshachakaza sana,sometime nyama kwa nyama na walioathirika,kinachonisaidia ni mate kwa wingi.
Ila sijaenda kupima na life linasonga.
Mkuu una moyo wa Chuma
 
We kafanye kama nlivyokushauri. Acha ubishi. Shauri zako... vikifika kwenye korodani utalazimika kuyaoka kama firigisi kwenye mafuta ya chipsi.
Sina Imani na Njia yako Boss! Virus is nat Bacteria na ni through blood ndo wanaambukiza Hayo Maji yatafanya nini mkuu
 
Swali kama hili angeuliza mtoto wa darasa la nne bado ningemshangaa...

Hivi ni kweli mpk leo watu hawajui maambukizi ya HIV yanapatikanaje??

Anyway... mi nakushauri chemsha maji ya moto afu ulimwagie hilo dushe lako kabla wadudu hawajasambaa mwilini.
hahahahaha najuta kukufahamu
 
Sina Imani na Njia yako Boss! Virus is nat Bacteria na ni through blood ndo wanaambukiza Hayo Maji yatafanya nini mkuu
Yataua wadudu kwenye damu. Na kuweka usugu. Hutakuwa na sababu tena ya kutumia kondom hapo baadaye.
 
Kama ulifanya na kondom umepata ukimwi
Ni bora usingetumia kondom wala usingepata ukimwi
Ila kwa sasa tayar unao anza tu kuzingatia balance diet

Na unavyosema huna michubuko,
Kuna michubuko isiyoonekana na huwezi hata kuihisi hata kama ukiweka chumvi

Mi nilishatembea na mwenye HIV bila condom na bahati nzuri Mungu alinisaidia sikupata sa hivi nimetuliza sana.

Nilikaa mwezi minne mawazo
Nikaamua kwenda kupima sina sikuamini nilipima mara nyingi kweli
 
Back
Top Bottom