Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,638
- 7,146
Kwani ulivyoenda hukujua!!!!
Ulivyoenda ungetaarifu watu kuomba advise sasa unapuyanga
Ulivyoenda ungetaarifu watu kuomba advise sasa unapuyanga
..Kama umeweza kujua Elimu ya kujiunga na Jamii forum...sina uhakika kama huna Elimu ya Ukimwi kiasi hicho.lah sivyo wewe ni Mvulana(mtoto mwenye jinsia ya kiume) na siyo MWANAMMEHabari wakuu,
Juzi kati hapa nilikuwa na mzuka sana wa kufanya mapenzi Bahati nzuri kuna msichana akajilengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa Huyo dada ni Ameathirika na Ukimwi Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?
Nipo katika pressure kubwa, kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote Ule!
Je kufanya mapenzi na mtu muathirika means na mimi nimeshaupata au vipi?
Msaada tafadhali
Acha kudanganya wenzioUmetumia Condom alafu unakuja kulialia hapa.
Mambo hayo waachie wakubwa wanaozama mpaka chumvini kwa waathirika na hawapati ukimwi.
ulikuwa na ujasir sana wa kupmaKama ulifanya na kondom umepata ukimwi
Ni bora usingetumia kondom wala usingepata ukimwi
Ila kwa sasa tayar unao anza tu kuzingatia balance diet
Na unavyosema huna michubuko,
Kuna michubuko isiyoonekana na huwezi hata kuihisi hata kama ukiweka chumvi
Mi nilishatembea na mwenye HIV bila condom na bahati nzuri Mungu alinisaidia sikupata sa hivi nimetuliza sana.
Nilikaa mwezi minne mawazo
Nikaamua kwenda kupima sina sikuamini nilipima mara nyingi kweli
Kweli nimeamini kuna watu wanamajibu ya mwendo kasiSwali kama hili angeuliza mtoto wa darasa la nne bado ningemshangaa...
Hivi ni kweli mpk leo watu hawajui maambukizi ya HIV yanapatikanaje??
Anyway... mi nakushauri chemsha maji ya moto afu ulimwagie hilo dushe lako kabla wadudu hawajasambaa mwilini.
kijana mamboWale la saba washapangiwa shule...
Swali kama hili angeuliza mtoto wa darasa la nne bado ningemshangaa...
Hivi ni kweli mpk leo watu hawajui maambukizi ya HIV yanapatikanaje??
Anyway... mi nakushauri chemsha maji ya moto afu ulimwagie hilo dushe lako kabla wadudu hawajasambaa mwilini.