Nimefanya mapenzi na msichana mwenye UKIMWI

Nimefanya mapenzi na msichana mwenye UKIMWI

Nenda hosp honga hela wakupatie dawa za kuua virusi kabla havijasamba

Dawa za kujikinga baada ya kukutana na mwenye maambukizi au kijitoboa kwa bahati mbaya na sindano unayomhudumia mwenye maambukizi, huwa zinatolewa bure kabla ya masaa 72 kwisha. Ila utaratibu utapimwa kwanza kabla ya kupewa isije ukawa na wewe ni mwathirika. Inaitwa Post Exposure Prophylaxis.
 
Watumiaji wengi wa ARV wanakuwa na viral load ya chini kiasi kwamba kumuambukiza mtu ni nadra sana kaka..wala usiogope
 
Umefanya mapenzi na msichana mwenye upungufu wa kinga mwilini sasa hapo tatizo liko wapi?? achana nae na upungufu wake wa kinga ya mwili we endelea na yako tu
 
Dawa za kujikinga baada ya kukutana na mwenye maambukizi au kijitoboa kwa bahati mbaya na sindano unayomhudumia mwenye maambukizi, huwa zinatolewa bure kabla ya masaa 72 kwisha. Ila utaratibu utapimwa kwanza kabla ya kupewa isije ukawa na wewe ni mwathirika. Inaitwa Post Exposure Prophylaxis.

Watakupima nini mkuu wakati virusi vinaanza kuonekana baada ya miezi mi 3
 
Sasa wewe BAADA ya kushinda angaza kupata ushauri nasaha unashinda baa.....
 
Tatiz hadith nying hum za kutunga....hv ungepat wap muda wa kupost kwa hayo mawazo uliyonayo...
 
kwani ww hujaoa? Mpaka ukahangaike!, au hata mchumba huna??, kuwa makini ndugu
 
naskia anaetumia dawa virus huwa domant hivo inapunguza nafasi ya kuambukiza.

Kirusi kinavalishwa cover hivyo hakiwezi kuzaliana na mwisho kinakufa, ukitumia ARV vizuri na ambazo sio feki kuna possibility ya kubaki bila virus mwilini.

Ukigongana na mwenye ngoma kirusi kinapaa hakipenyi kuingia mwilini kwa sababu kinakuwa coated, ila TUMIA KONDOM MARA ZOTE
 
hakuna jipya chini ya jua mwenyewe nimewah fanya na mwathirika ila nliitumia vyema na SAS sijambo mzima kabis we tuliza presha.
 
Kama ulitumia condom, hakuna shida! Kama hukutuma, which hospital kisenge cha HIVI/AIDS walleye Hali hamisa. Watakua PEP!
Wakuu,

Katika pitapita yangu jana baada ya kupiga safari lager za kutosha si nikakutana na mrembo, maskini ya Mungu bila kujua kitu mwanaume nikampeleka hadi nyumbani tukavunja amri ya sita.

Maajabu leo katika kukagua kibegi chake nimekutana na ARV's yaani hapa nimechanganyikiwa nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.

Embu nishaurini wakuu nimfanyaje huyu bidada maanake japo nilitumia kinga sina furaha kabisa.
 
Back
Top Bottom