Nimefanya mapenzi na msichana mwenye UKIMWI

Nimefanya mapenzi na msichana mwenye UKIMWI

Kama ulitumia condom, hakuna shida. Kabla hukutuma, wahi hospital kitengo cha HIV/AIDS uwaeleze ilivyokuwa. Watakupa PEP!
 
1.Mtu aliye na ARVs sio lazima ziwe zake au anazitumia labda kama umethibitisha hivyo kwa kupata na kadi yake ya CTC 1.
2.Prostitutes wengi mjini wanatumia ARVs huku wakiwa hawana HIV.....hutumia kama Pre exposure prophylaxis(PrEP) yaani kujikinga na maambukizi kutoka kwa wateja wao..zinapatikana ktk black market
3.Kama ni kweli yeye ni muathirika wa HIV na anatumia hizo dawa vizuri basi huna sababu ya kuchanganyikiwa....
Reason and facts;
-Possibility ya kupata HIV kwa tendo moja ni 0.03%.
-Possibility hii imesimama kwenye ground ya Viral Load(wingi wa virus ktk damu)
Kwa mgonjwa aliyetumia dawa vizuri bila kuchakachua anategemewa kuwa na Undectable level of virus....hii inamaanisha ukipima viral load unakuta 0 ingawa mgonjwa ana HIV.....
Sasa mgonjwa mwenye undetectable level of virus au hata mwenye viral load ndogo uwezo wake wa kuambukiza unapungua sana na hivyo unaweza ukafanya "ngono peku"
na usipate maambukizi....
Ushauri.....
Usipanick....ukipima leo HIV ukaikuta basi sio ya huyo dada..ulikua nayo,
Kama ukipima ukakuta Negative basi nenda kwa daktari na utapewa ARVs dozi ya siku 28 Post Exposure Prophylaxis na utasalimika....dawa hii huwa effective kama dozi ya kwanza itatumika ndani ya masaa 72 post event....Sasa amua haraka na ukimbie hospital ukafanye mchakato huu....
Asante na pole sana jembe.!
Ushauri mzuri
 
Endelea kuishi kawaida..kula vizuri kama siku zote n.k..ukiruhusu woga,hofu na msongo wa mawazo vikutawale umekwisha.
 
Waswahili bana.....sasa kilichokushtua ni nini ili hali ulitumia condom kwa kuwa humuamini/hamuaminiani na ulitaka kujikinga/kumkinga dhidi ya huo ukimwi?
 
anayetumia ARV hana uwezo wa kuambukiza, isitoshe umetumia ndom....umesave kula bata tu ikibidi mtafute tena

Kama jamaa ana dushe above 5 inches anatakiwa kupata hofu, below 5 kwa wauza papuchi ni sawa na sindano kwenye beseni,
Zero friction
 
Wakuu,

Katika pitapita yangu jana baada ya kupiga safari lager za kutosha si nikakutana na mrembo, maskini ya Mungu bila kujua kitu mwanaume nikampeleka hadi nyumbani tukavunja amri ya sita.

Maajabu leo katika kukagua kibegi chake nimekutana na ARV's yaani hapa nimechanganyikiwa nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.

Embu nishaurini wakuu nimfanyaje huyu bidada maanake japo nilitumia kinga sina furaha kabisa.

Ulihakikisha umevaa vizuri maana wengine wakilewa sana wanavaa vidoleni wakidhani mb*o
 
Hofu ya nn, au huiamn hiyo kinga uliotumia? au hukutumia unatudanganya tu?
 
Nenda hosp honga hela wakupatie dawa za kuua virusi kabla havijasamba

Sio lazima kuhonga ni haki ya kila mtu. Dawa zipo ukiwa umekutana na mtu na una mashaka ya virus. Mweleze dr. Anakuweka kwenye dawa siku zaidi ya 28 up to 30. PEP. Ila iwe ndani ya saa 72.
 
Wahi haraka kwa wataalam kabla sijasambaa mwilini mwako wewe tena wakupe hizo dawa ziniuwe mapema la sivyo nikiji replicate tunakuwa wengi . Si unatujua sisi wakina retrovirus mh ... fanya hima
 
Wahi haraka kwa wataalam kabla sijasambaa mwilini mwako wewe tena wakupe hizo dawa ziniuwe mapema la sivyo nikiji replicate tunakuwa wengi . Si unatujua sisi wakina retrovirus mh ... fanya hima
Mungu wangu😕😕
 
Wadada wenye ARV kumbe wamekua dili enhee?
kuna jamaa angu alijipigia wiki 3, akaenda regency kupima mzima
 
Kama ni kweli yeye ni muathirika wa HIV na anatumia hizo dawa vizuri basi huna sababu ya kuchanganyikiwa....
Reason and facts;
-Possibility ya kupata HIV kwa tendo moja ni 0.03%.
Umenipa nisichokijua kabla
 
Back
Top Bottom