Mkali popote
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 633
- 340
Wakuu,
Katika pitapita yangu jana baada ya kupiga safari lager za kutosha si nikakutana na mrembo, maskini ya Mungu bila kujua kitu mwanaume nikampeleka hadi nyumbani tukavunja amri ya sita.
Maajabu leo katika kukagua kibegi chake nimekutana na ARV's yaani hapa nimechanganyikiwa nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.
Embu nishaurini wakuu nimfanyaje huyu bidada maanake japo nilitumia kinga sina furaha kabisa.
Katika pitapita yangu jana baada ya kupiga safari lager za kutosha si nikakutana na mrembo, maskini ya Mungu bila kujua kitu mwanaume nikampeleka hadi nyumbani tukavunja amri ya sita.
Maajabu leo katika kukagua kibegi chake nimekutana na ARV's yaani hapa nimechanganyikiwa nimeamua tu nishinde bar kupoteza mawazo.
Embu nishaurini wakuu nimfanyaje huyu bidada maanake japo nilitumia kinga sina furaha kabisa.