IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,462
- 7,381
mkuu hata mimi naruhusiwa_ama ndio ukabila utanitoa nje....joketena swali la umejiandaandaaje halitakuwepo kabisa.
mkuu hata mimi naruhusiwa_ama ndio ukabila utanitoa nje....joketena swali la umejiandaandaaje halitakuwepo kabisa.
Kama ni mwanao..she is cute aisee!
Nimeangalia profile yake Facebook!
Mpe hongera zake!
watoto ninao wengi,
wengine ni wajanja kama wewe hivyo hivyo
binti mwingine kamaliza form 4 mwaka huu
ndo najipanga panga kumtafutia masuala ya kupiga piano.
ehh Rejao mbavu zangu kah umeniua kwa kicheko, yaan ilienda kupekua hadi kwa fb we kweli wwKama ni mwanao..she is cute aisee!
Nimeangalia profile yake Facebook!
Mpe hongera zake!
ehh Rejao mbavu zangu kah umeniua kwa kicheko, yaan ilienda kupekua hadi kwa fb we kweli ww
hahah...:lol: nilijikuta tu nipo interested kumfahamu zaidi. si mnjua tena haya mambo huwa yanatokea automatically?uko fasta mzee nimekukubali. ILA kiukweli she is cuteeeee, Naturale. HONGERA ZAKE
hahah...:lol: nilijikuta tu nipo interested kumfahamu zaidi. si mnjua tena haya mambo huwa yanatokea automatically?