I wish nije fika hizo levels... Kwamba mwanangu
anapata mafanikio kama hayo na nashuhudia...
Hongera saaana kwa kulea na kukuza binti hadi hio
level - na hongera kwa mwanao kwa kuzingatia elim
maana mabinti wengi wameishia njiani.
Mwenyezi Mungu awazidishie baraka daima....
kwaiyo una mpango gani na binti wa mamamdogo wa jf?Kama ni mwanao..she is cute aisee!
Nimeangalia profile yake Facebook!
Mpe hongera zake!
Hahaha...ni kama mwanangu pia bebii..kwaiyo una mpango gani na binti wa mamamdogo wa jf?
kumbe ni kwa ajili ya kijana wakohahaha...ni kama mwanangu pia bebii..
Naweza nikamwozesha kwa kijana wangu!! Si unajua tena wote ni wa kuleee
kumbe ni kwa ajili ya kijana wako
ni kweli switi home lazima idumishwe
itakuwa ni mapipa ya kile kinywaji na kakondoo yasini basitena swali la umejiandaandaaje halitakuwepo kabisa.
itakuwa ni mapipa ya kile kinywaji na kakondoo yasini basi
Kweli nimeamini nyumbani ni nyumbani..sasa hiyo party mbona ulokuwa mwenyewe?@Mamndenyitena swali la umejiandaandaaje halitakuwepo kabisa.
mbona sikuelewi tena umemkataa tena kijana wa rejao? ila nadhani rejao anataka tu kujisavia mwenyewe hii habari itamuhuzunisha sana loh? mana hadi fb kamfatamwaya huyu dada alishaolewa,
ana mume na watoto wake.
hivyo uwezekano wa kula mahari mbili ni ngumu zaidi.