Nimefanya kweli

Mamndenyi

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
40,601
52,304
Haya ni maneno ya binti yangu Antonia Masoy
Kwenye Mahafali yake ya kuhitimu shahada yake jana.

Kila la kheri.

graduation-cap.jpg

 
I wish nije fika hizo levels... Kwamba mwanangu
anapata mafanikio kama hayo na nashuhudia...

Hongera saaana kwa kulea na kukuza binti hadi hio
level - na hongera kwa mwanao kwa kuzingatia elim
maana mabinti wengi wameishia njiani.

Mwenyezi Mungu awazidishie baraka daima....
 
I wish nije fika hizo levels... Kwamba mwanangu
anapata mafanikio kama hayo na nashuhudia...

Hongera saaana kwa kulea na kukuza binti hadi hio
level - na hongera kwa mwanao kwa kuzingatia elim
maana mabinti wengi wameishia njiani.

Mwenyezi Mungu awazidishie baraka daima....

Asante sana mwanangu,
MUNGU atakubariki tu usijali.
 
mwaya huyu dada alishaolewa,
ana mume na watoto wake.
hivyo uwezekano wa kula mahari mbili ni ngumu zaidi.

 
mwaya huyu dada alishaolewa,
ana mume na watoto wake.
hivyo uwezekano wa kula mahari mbili ni ngumu zaidi.

mbona sikuelewi tena umemkataa tena kijana wa rejao? ila nadhani rejao anataka tu kujisavia mwenyewe hii habari itamuhuzunisha sana loh? mana hadi fb kamfata
 
mbona sikuelewi tena umemkataa tena kijana wa rejao? ila nadhani rejao anataka tu kujisavia mwenyewe hii habari itamuhuzunisha sana loh? mana hadi fb kamfata

si umeonaeee, na mimi nimeshashtuka mapema.
 
Back
Top Bottom