mpige ban wewePaw
Cookie
Maxence Melo
Moderator
Mpigeni ban ya maisha huyu kwa sababu inamaanisha kwamba kama angeweza kuhack inaamaana angeweza kuchukua taarifa za watu na kupeleka kusikojulikana.
Hii ni sawa na mwizi ajaribu kuiba kisha ashindwe kutokana na usalama uliopo sasa ukimkata hautakiwi kumsamehe huyo mwizi lazima kipondo kihusike.
Paw
Cookie
Maxence Melo
Moderator
Mpigeni ban ya maisha huyu kwa sababu inamaanisha kwamba kama angeweza kuhack inaamaana angeweza kuchukua taarifa za watu na kupeleka kusikojulikana.
Hii ni sawa na mwizi ajaribu kuiba kisha ashindwe kutokana na usalama uliopo sasa ukimkata hautakiwi kumsamehe huyo mwizi lazima kipondo kihusike.
Ila mahondaw atakuwa anapata tabu sana
Huwa inafanyiwa Distributed Denial of Service Attack na wahuni wa lumumba
Haujaivaunataka ku hack mtandao kwa TERMUX? shame on you kidogo ningeona KALI LINUX hapo ningejua unajaribu jaribu ila TERMUX tena kwa android??poor you na vi command uchwara
JF ni ngangari huwezi kuihack, labla ukaombe msaada NASA.....
Umepata ruhusa ya JAMIIFORUMS KUFANYA SECURITY AUDIT KAMA SIVYO JUA UNA MAKOSA
Alaf hapo eti unataka kufumua server yao sio rahisi. We jaribu kutafuta vulns kwenye web app na sio websever unless kama unaweza kuandika exploits cheza ka webservers. Common vulns ni hizi xxs.sqli,csrf,file upload,code execution,directory traversal,sensitive data exposure etc. Jaribu kutafuta hizo
Pamoja mkuuWe jamaa heshima kwako maana unanikumbusha mengi sana ambayo niliyasahau katika tasnia ya tech
Melo alianza kuilinda Jf kuanzia 2015 kwenye uchanguzi mkuu, sasa hivi ni ngumu sana na nirahisi kuona na kukudhibiti....Jipange tu mzee ukizama chimbo utaweza kwa element inspection Lol!!
Melo alianza kuilinda Jf kuanzia 2015 kwenye uchanguzi mkuu, sasa hivi ni ngumu sana na nirahisi kuona na kukudhibiti....
Site za nje ambazo hazina security ya kutosha ndiyo tunajifunzia huko...
Mkuu Jf hawawezi kumpiga ban wala kufuta hii thread wao wanataka watu haihack then wajue mapema madhaifu yao yapo wapi wayadhibiti mapema....Paw
Cookie
Maxence Melo
Moderator
Mpigeni ban ya maisha huyu kwa sababu inamaanisha kwamba kama angeweza kuhack inaamaana angeweza kuchukua taarifa za watu na kupeleka kusikojulikana.
Hii ni sawa na mwizi ajaribu kuiba kisha ashindwe kutokana na usalama uliopo sasa ukimkata hautakiwi kumsamehe huyo mwizi lazima kipondo kihusike.
Serikali inatumia Dos attackKila system inauwezo wa kuwa exploited na ndio maana hata makampuni makubwa kama twitter yanalia.
Hata JF inaweza kuwa exploited endapo tu resources na knowledge ya huyo exploiter itazidi JF systems.
2020 Uchaguzi Day tutashuhudia JF ikiwa slow sababu lazima wahuni kutoka China waje kuidondosha kama 2015 maana JF ishaprove to be a powerful tool.
Kumuelekeza mtu codding hamruhusiwi?? Sijawahi sikia hiiToobaah, miiko yangu ya kazi hainiruhusu hata nje ya muda wa kazi.
Niwie radhi.
Kumuelekeza mtu codding hamruhusiwi?? Sijawahi sikia hii
Daah, hongereni sana Admins, nimejaribu kusaka vulnerabilities kwenye jamiiforums ila nimesanda.View attachment 1194369