Account yako ya Instagram imekuwa hacked mpaka sasa sijaelewa imehackiwa kwa style gani

def_xcode

JF-Expert Member
Jul 25, 2023
1,928
5,292
Mimi ni mtu ambaye huwa sifungu link ninazotumiwa kama sijui imetoka kwa nani kwa sababu daily napokea emails kibao kutoka kwa mascammer.
Pia akaunti yangu instagram haikuwa linked na email bali namba ya simu ambaye kimsingi nilishaipoteza so kama hata kutumiwa link zingeenda kule kwenye hiyo namba ambayo sina.
Mimi nimefollow zaidi pages za wauza gadgets, magari, cryptos nimeanza zifollow mwishoni mwa mwaka jana na pages za technology na habari hasa za china na marekani.
Sasa jana nashangaa natakaa kuingia instagram kupitia pc inaniambia niweke password naweka inagoma.
Nikahamia kwa simu nako holla! Kureset password inatuma msg kwa namba siijui ikabidi nitulie kwanza.
Leo ndipo najaribu kuingia tena naona sasa kureset url inatumwa kwa email ambayo hata siijui na ina @c****** ikiwa inamaana si gmail wala yahoo wala hotmail n.k.
Ikabdi nifungue akaunti nyingine niende kuona kuna nini maana mimi akaunti yangu haikuwa na post hata moja nashangaa nakuta kuna post mbili za cryptos nikajua scammers washafanya yao.
Nimejaribu kuireport meta nione kama wataifunga walau maana isije ikaanza tangaza biashara.
Jambo ninalojiuliza yani nimekuwa hacked kwa style gani mpaka sasa sijapata jibu.
 
Pole sana, pambana kabla hawajaanza kuwatapeli watu wako wa karibu unao heshimiana nao. Ikifika huko unaweza usieleweke na watu wako wa karibu kwautapeli utakao wakuta
 
Uzembe usio na maana yoyote, kama akaunti ya insta ni muhimu kwako ulipaswa ufanye mabadiliko ya namba ya simu baada ya kupoteza ile ya awali.

Kama hukufanya basi uzembe wako.

Mitandao yote ya kujamii ina two authentication policy, mtu aki hack email address hawezi ku hack na namba ya simu lazima itamgomea.

Sio hackers tu, hata mtandao mwenyewe ungekuja kufanya mabadiliko ya sera wakataka kuhakikisha kama wewe ndio mmiliki wakakwambia update taarifa zako, link ama code wanatuma kwenye namba yako halafu namba huna, unategemea nini?

Watu kama wewe muibiwe tu hata hela.
 
Mimi ni mtu ambaye huwa sifungu link ninazotumiwa kama sijui imetoka kwa nani kwa sababu daily napokea emails kibao kutoka kwa mascammer.
Pia akaunti yangu instagram haikuwa linked na email bali namba ya simu ambaye kimsingi nilishaipoteza so kama hata kutumiwa link zingeenda kule kwenye hiyo namba ambayo sina.
Mimi nimefollow zaidi pages za wauza gadgets, magari, cryptos nimeanza zifollow mwishoni mwa mwaka jana na pages za technology na habari hasa za china na marekani.
Sasa jana nashangaa natakaa kuingia instagram kupitia pc inaniambia niweke password naweka inagoma.
Nikahamia kwa simu nako holla! Kureset password inatuma msg kwa namba siijui ikabidi nitulie kwanza.
Leo ndipo najaribu kuingia tena naona sasa kureset url inatumwa kwa email ambayo hata siijui na ina @c****** ikiwa inamaana si gmail wala yahoo wala hotmail n.k.
Ikabdi nifungue akaunti nyingine niende kuona kuna nini maana mimi akaunti yangu haikuwa na post hata moja nashangaa nakuta kuna post mbili za cryptos nikajua scammers washafanya yao.
Nimejaribu kuireport meta nione kama wataifunga walau maana isije ikaanza tangaza biashara.
Jambo ninalojiuliza yani nimekuwa hacked kwa style gani mpaka sasa sijapata jibu.
Hujawahi tumia 3rd party Instagram? Kama insta za kudownlod picha, video etc ama za kuongeza features mbalimbali
 
Inawezekana umedukuliwa kupitia cookies and cache za zilizopo kwenye kompyuta yako ambapo hackers wameingia kwenye akaunti yako kupitia setting cookies na nache na kupelekea kupata taarifa zako na kukuibia
 
Kama account ni personal basi kosa kubwa ni kuwa na account ya Instagram.
 
Mimi ni mtu ambaye huwa sifungu link ninazotumiwa kama sijui imetoka kwa nani kwa sababu daily napokea emails kibao kutoka kwa mascammer.
Pia akaunti yangu instagram haikuwa linked na email bali namba ya simu ambaye kimsingi nilishaipoteza so kama hata kutumiwa link zingeenda kule kwenye hiyo namba ambayo sina.
Mimi nimefollow zaidi pages za wauza gadgets, magari, cryptos nimeanza zifollow mwishoni mwa mwaka jana na pages za technology na habari hasa za china na marekani.
Sasa jana nashangaa natakaa kuingia instagram kupitia pc inaniambia niweke password naweka inagoma.
Nikahamia kwa simu nako holla! Kureset password inatuma msg kwa namba siijui ikabidi nitulie kwanza.
Leo ndipo najaribu kuingia tena naona sasa kureset url inatumwa kwa email ambayo hata siijui na ina @c****** ikiwa inamaana si gmail wala yahoo wala hotmail n.k.
Ikabdi nifungue akaunti nyingine niende kuona kuna nini maana mimi akaunti yangu haikuwa na post hata moja nashangaa nakuta kuna post mbili za cryptos nikajua scammers washafanya yao.
Nimejaribu kuireport meta nione kama wataifunga walau maana isije ikaanza tangaza biashara.
Jambo ninalojiuliza yani nimekuwa hacked kwa style gani mpaka sasa sijapata jibu.
Hauko peke yako, account ya X inayomilikiwa na Mo Dewji pia wamehack
 
Mimi ni mtu ambaye huwa sifungu link ninazotumiwa kama sijui imetoka kwa nani kwa sababu daily napokea emails kibao kutoka kwa mascammer.
Pia akaunti yangu instagram haikuwa linked na email bali namba ya simu ambaye kimsingi nilishaipoteza so kama hata kutumiwa link zingeenda kule kwenye hiyo namba ambayo sina.
Mimi nimefollow zaidi pages za wauza gadgets, magari, cryptos nimeanza zifollow mwishoni mwa mwaka jana na pages za technology na habari hasa za china na marekani.
Sasa jana nashangaa natakaa kuingia instagram kupitia pc inaniambia niweke password naweka inagoma.
Nikahamia kwa simu nako holla! Kureset password inatuma msg kwa namba siijui ikabidi nitulie kwanza.
Leo ndipo najaribu kuingia tena naona sasa kureset url inatumwa kwa email ambayo hata siijui na ina @c****** ikiwa inamaana si gmail wala yahoo wala hotmail n.k.
Ikabdi nifungue akaunti nyingine niende kuona kuna nini maana mimi akaunti yangu haikuwa na post hata moja nashangaa nakuta kuna post mbili za cryptos nikajua scammers washafanya yao.
Nimejaribu kuireport meta nione kama wataifunga walau maana isije ikaanza tangaza biashara.
Jambo ninalojiuliza yani nimekuwa hacked kwa style gani mpaka sasa sijapata jibu.
Huwa mna matatizo ya ajBu ninyi ndio wale wenye tamaa mnabofya malink mnayotumiwa inbox mnajikuta mnajaza detail zenu za account lazima muhakiwe , watu wanataka follower ajabu wanaenda kwenye site za follower wanaweka username na password za account zao utahakiwa kizembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom