Nimedhamiria kumtongoza mke wa Mchungaji wangu

Nimedhamiria kumtongoza mke wa Mchungaji wangu

Zee Korofi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2021
Posts
1,604
Reaction score
1,440
Mimi ni muokovu safi, nasali kanisa X hapa DSM(samahani sijatoa salamu). Kama nilivyokwisha kusema awali napenda minyama uzembe, basi huyu mama ana nyama uzembe kama zote, hasa za tumboni na kiunoni(UDHAIFU WANGU NAMBA MOJA). Hivyo nimekaa na kutafakari, nimeamua liwalo na liwe. Lakini nikakumbuka hiki:

Kuna JF, hapo nikawasha 'data' na kuingia jamvini, chai sijanywa mpaka muda huu, kichwa chote cha moto. Nilibahatika kumuona alikuwa kainama, nikaona nyama kwa bahati mbaya. From then to now sipo 'okay'.

Mna nini cha kuniambia ndugu zangu? Ratiba inasema kufikia kesho mchana kila kitu kinatakiwa kiishe, mna masaa machache ya kunishauri.

Karibuni!
 
Sasa ndo unatutisha ili tukushauri au?

Subiri pastor akufumanie. Tembea na rays
 
Wokovu ni Neema ambayo inatoka kwa Mungu peke yake hivyo Kuna wokovu wa kujipa ( huu wanao wengi) ukiacha mtoa mada ambapo Yeye hana kitu hata kimoja vyote katunga tu kujiflaisha. Yeye amekwisha kupokea mshahara wake.

Mchungaji wa kweli aliye simama na Mungu wala huwezi kufanya vitu kama hivo asijue kabla hata hujafikir ili akuombee maana sio wewe ni Roho chafu inakunyemelea. Mungu sio Mshamba aone shetani anataka kuleta taflan akuangalie tu wewe amekuchagua hiyo roho umeitoa wap ikiwa anajua hadi anachokiwaza Fisi.

Mungu hufunua kabla chochote hakijatukia utashangaa kajuaje kaa vizuri na Mungu hata wewe anakufunulia mpaka mambo ya nchi ili uombe.

Shetani anatumia watu vibaya sana. Pole na Mungu anaehukumu kwa haki akurehemu kwa uongo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom