Tenda kama ulivyofikiri, Maana hata wao wanakula Kondoo. Pengne hao kondoo ni Dada au Manzi wako.Mimi ni muokovu safi, nasali kanisa X hapa DSM(samahani sijatoa salamu). Kama nilivyokwisha kusema awali napenda minyama uzembe, basi huyu mama ana nyama uzembe kama zote, hasa za tumboni na kiunoni(UDHAIFU WANGU NAMBA MOJA). Hivyo nimekaa na kutafakari, nimeamua liwalo na liwe. Lakini nikakumbuka hiki:
Kuna JF, hapo nikawasha 'data' na kuingia jamvini, chai sijanywa mpaka muda huu, kichwa chote cha moto. Nilibahatika kumuona alikuwa kainama, nikaona nyama kwa bahati mbaya. From then to now sipo 'okay'.
Mna nini cha kuniambia ndugu zangu? Ratiba inasema kufikia kesho mchana kila kitu kinatakiwa kiishe, mna masaa machache ya kunishauri.
Karibuni!
Wachungaji uchwala tu hawa hakuna Maono wala nn labda Miuno.[emoji1787][emoji1787] we jamaa hauko sawa, kwamba anajua kabla hujamfata mke wake. Naomba kuuliza na mabinti zao pia ukiwafata anafunuliwa
Hatimae umefika babaWokovu ni Neema ambayo inatoka kwa Mungu peke yake hivyo Kuna wokovu wa kujipa ( huu wanao wengi) ukiacha mtoa mada ambapo Yeye hana kitu hata kimoja vyote katunga tu kujiflaisha. Yeye amekwisha kupokea mshahara wake.
Mchungaji wa kweli aliye simama na Mungu wala huwezi kufanya vitu kama hivo asijue kabla hata hujafikir ili akuombee maana sio wewe ni Roho chafu inakunyemelea. Mungu sio Mshamba aone shetani anataka kuleta taflan akuangalie tu wewe amekuchagua hiyo roho umeitoa wap ikiwa anajua hadi anachokiwaza Fisi.
Mungu hufunua kabla chochote hakijatukia utashangaa kajuaje kaa vizuri na Mungu hata wewe anakufunulia mpaka mambo ya nchi ili uombe.
Shetani anatumia watu vibaya sana. Pole na Mungu anaehukumu kwa haki akurehemu kwa uongo wako.
Hatimae umefika baba
Sawa sio Mchungaji wala sio baba,Nipo nimeona habari zako. Mimi sio Baba wala sio mchungaji bali ni Yule ambae shetani alinitesa sasa ni zamu yangu.
Sawa sio Mchungaji wala sio baba,
Ila Hili jukwaa halikufahi maana tayari wewe mwenyewe upo kwenye mzaha na wanaofanya mzaa.
Mimi naona ungejikita kwenye majukwaa ya siasa na teknolojia huku ungeanzisha nyuzi za mahubiri.
Ofcourse not,Ushauri wako ni mzuri. Kwa mafanikio yako bila Shaka hatupangiani ignore
Ofcourse not,
The choice is yours
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa,afanya jambo litakalo mwangamiza nafsi yake.(mithal 6;32)
We jamaa !!Mimi ni muokovu safi, nasali kanisa X hapa DSM(samahani sijatoa salamu). Kama nilivyokwisha kusema awali napenda minyama uzembe, basi huyu mama ana nyama uzembe kama zote, hasa za tumboni na kiunoni(UDHAIFU WANGU NAMBA MOJA). Hivyo nimekaa na kutafakari, nimeamua liwalo na liwe. Lakini nikakumbuka hiki:
Kuna JF, hapo nikawasha 'data' na kuingia jamvini, chai sijanywa mpaka muda huu, kichwa chote cha moto. Nilibahatika kumuona alikuwa kainama, nikaona nyama kwa bahati mbaya. From then to now sipo 'okay'.
Mna nini cha kuniambia ndugu zangu? Ratiba inasema kufikia kesho mchana kila kitu kinatakiwa kiishe, mna masaa machache ya kunishauri.
Karibuni!
Mimi ni muokovu safi, nasali kanisa X hapa DSM(samahani sijatoa salamu). Kama nilivyokwisha kusema awali napenda minyama uzembe, basi huyu mama ana nyama uzembe kama zote, hasa za tumboni na kiunoni(UDHAIFU WANGU NAMBA MOJA). Hivyo nimekaa na kutafakari, nimeamua liwalo na liwe. Lakini nikakumbuka hiki:
Kuna JF, hapo nikawasha 'data' na kuingia jamvini, chai sijanywa mpaka muda huu, kichwa chote cha moto. Nilibahatika kumuona alikuwa kainama, nikaona nyama kwa bahati mbaya. From then to now sipo 'okay'.
Mna nini cha kuniambia ndugu zangu? Ratiba inasema kufikia kesho mchana kila kitu kinatakiwa kiishe, mna masaa machache ya kunishauri.
Karibuni!