Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,440
- Thread starter
- #21
Aah hadithi tuMla mliwa
Aah hadithi tuMla mliwa
Vipi akiliwa wako?Wachungaji na walemavu ni watu ambao ukiwala wake zao hawawezi wakakukula kiboga
So yupo safe tu
I am not the one. I am a purely scratched lead!Wewe ndio yale magugu bwana Yesu aliyoyasemea.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hahah mkuu Extrovert sijui hata nikujibu vipi.Hahahahahah kwahio unataka ule ekaristi takatifu ya bw paroko?[emoji23][emoji23][emoji23]
Una uhakika na hilo?Mchungaji atamsamehe
Sasa si naendelea na life langu au? Mimi sibembelezi!Sasa akikukatalia utaweka wapi uso wako kwa aibu itakayokukumba lkn jaribu huenda ukapewa .
"I am coming out, I am coming out"Maandiko yanasema samehe 7 mara 70 nategemea mchungaji atayaishii maandiko na kusamehe
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Wokovu ni Neema ambayo inatoka kwa Mungu peke yake hivyo Kuna wokovu wa kujipa ( huu wanao wengi) ukiacha mtoa mada ambapo Yeye hana kitu hata kimoja vyote katunga tu kujiflaisha. Yeye amekwisha kupokea mshahara wake.
Mchungaji wa kweli aliye simama na Mungu wala huwezi kufanya vitu kama hivo asijue kabla hata hujafikir ili akuombee maana sio wewe ni Roho chafu inakunyemelea. Mungu sio Mshamba aone shetani anataka kuleta taflan akuangalie tu wewe amekuchagua hiyo roho umeitoa wap ikiwa anajua hadi anachokiwaza Fisi.
Mungu hufunua kabla chochote hakijatukia utashangaa kajuaje kaa vizuri na Mungu hata wewe anakufunulia mpaka mambo ya nchi ili uombe.
Shetani anatumia watu vibaya sana. Pole na Mungu anaehukumu kwa haki akurehemu kwa uongo wako.
Bora amekuwa mkweli. Asilimia kubwa ya wanaojiita walokole wana dhambi kuliko shetani mwenyewe.Nyie ndio mnaosababisha injili inakuwa ngumuuu, kulikuwa na haja gani ya kusema wewe ni muokovu Safi?
Angalia usifumwe tu😂Hahah mkuu Extrovert sijui hata nikujibu vipi.
Sina mkeVipi akiliwa wako?
🤣🤣🤣🤣Hatimaye wenye manyama uzembe tumekumbukwa kweli Mungu mkubwa.
[emoji1787][emoji1787] we jamaa hauko sawa, kwamba anajua kabla hujamfata mke wake. Naomba kuuliza na mabinti zao pia ukiwafata anafunuliwaWokovu ni Neema ambayo inatoka kwa Mungu peke yake hivyo Kuna wokovu wa kujipa ( huu wanao wengi) ukiacha mtoa mada ambapo Yeye hana kitu hata kimoja vyote katunga tu kujiflaisha. Yeye amekwisha kupokea mshahara wake.
Mchungaji wa kweli aliye simama na Mungu wala huwezi kufanya vitu kama hivo asijue kabla hata hujafikir ili akuombee maana sio wewe ni Roho chafu inakunyemelea. Mungu sio Mshamba aone shetani anataka kuleta taflan akuangalie tu wewe amekuchagua hiyo roho umeitoa wap ikiwa anajua hadi anachokiwaza Fisi.
Mungu hufunua kabla chochote hakijatukia utashangaa kajuaje kaa vizuri na Mungu hata wewe anakufunulia mpaka mambo ya nchi ili uombe.
Shetani anatumia watu vibaya sana. Pole na Mungu anaehukumu kwa haki akurehemu kwa uongo wako.
[emoji1787][emoji1787] we jamaa hauko sawa, kwamba anajua kabla hujamfata mke wake. Naomba kuuliza na mabinti zao pia ukiwafata anafunuliwa