Yaani,.Wanasemaga wapenzi hawashauriwagi eti rafiki na yote ni kwa ajili ya vitu kama hivyo.
We unajipinda kumshauri mtu kumbe saa hiyo amekuitikia sababu alikuwa na hasira , zikiisha anarudi wanatakana radhi mambo yanaendelea.
Pole rafiki.
Hahaha, niko mwenyeweKwakweli hili swali muhimu sana,.
Uko na nani?😂😂
Kwakweli mambo Yao ni ya kuwaachia wenyeweNimecheka mwenyewe mkuu. Hususani ulivyohitimisha hii stori ya kufedheheshwa!
Mkuu siku nyingine mtu akikuomba ushauri unaohusisha pande mbili, epuka kutoa ushauri wa kuhutimisha. Jitahidi kutoa ushauri kumpa yeye uchaguzi wa mwisho wa maamzi anayopaswa kuchukua!
Inaumiza sana aisee,.Vituko, kuna mtu kamfumania mke wa mtu akichakatwa mubashara. Akaenda kusema kwa mume wake kuwa mke amechepuka. Mwenye mke akamuambia mke wake nimeletewa unaa kuwa umechepuka, mke akakanusha. Jamaa mwenye mke akamuambia mke wake kuwa aliyemletea habari ni mchonganishi anayetaka kuvuruga ndoa ya watu, mke akamuunga mkono. Habari zikamfikia jamaa mtoa habari kuwa amesutwa na hao wanandoa. Mtoa habari alijisikia vibaya sana licha ya kuusema ukweli kwa mwanamke mchepukaji
Mbona wameachana Tena 😂😂Ilishanitokea hii,Waliachana baada ya miaka kadhaa mmojawapo akawa anahitaji kurudiana,huyu ambaye alikuwa anaombwa warudiane naye akaniomba mimi ushauri, Ushauri niliompa "wasirudiane" Bahati mbaya wakarudiana na waliporudiana yule aliyekuwa ananiomba ushauri akamwambia kila kitu kuhusu ushauri niliompa, Nashukuru Mungu wameachana tena.