Nimedhalilika ...

Nimedhalilika ...

NrNe.....

Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..

Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...

Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....

Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...

Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....

Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Nimecheka mwenyewe mkuu. Hususani ulivyohitimisha hii stori ya kufedheheshwa!

Mkuu siku nyingine mtu akikuomba ushauri unaohusisha pande mbili, epuka kutoa ushauri wa kuhitimisha. Jitahidi kutoa ushauri wa kumpa yeye uchaguzi wa mwisho wa maamzi anayopaswa kuchukua!
 
NrNe.....

Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..

Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...

Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....

Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...

Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....

Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Ukome umbeya
 
NrNe.....

Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..

Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...

Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....

Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...

Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....

Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Sasa wazee/wanaume huwa hatushauri kuvunja ndoa.

Siku nyingine msikilize, kisha muulize moyo wake unamwambia nini? Mwambie avumilie au afuate moyo wake.
 
Mnashauriwa kila siku mpunguze kiherehere au kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu hamuelewi.
 
Ukome na uache,,,,, !!!! Ishu ya mapenzi haihitaji ushauri,,,, ww hujui huko ndani wanapeanaje , unashangaa simu moja tu nimekumiss mwanamke keshaloa, kasahau kama waligombana
 
NrNe.....

Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..

Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...

Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....

Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...

Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....

Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Duuh pole,Kumbuka usemi wa wahenga, mambo ya Ngoswe,mwachie Ngoswe mwenyewe!
 
Vituko, kuna mtu kamfumania mke wa mtu akichakatwa mubashara. Akaenda kusema kwa mume wake kuwa mke amechepuka. Mwenye mke akamuambia mke wake nimeletewa unaa kuwa umechepuka, mke akakanusha. Jamaa mwenye mke akamuambia mke wake kuwa aliyemletea habari ni mchonganishi anayetaka kuvuruga ndoa ya watu, mke akamuunga mkono. Habari zikamfikia jamaa mtoa habari kuwa amesutwa na hao wanandoa. Mtoa habari alijisikia vibaya sana licha ya kuusema ukweli kwa mwanamke mchepukaji
 
NrNe.....

Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..

Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...

Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....

Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...

Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....

Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Unafkisim
 
NrNe.....

Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..

Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...

Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....

Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...

Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....

Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Kazidi unafki
 
Back
Top Bottom