Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,212
- 17,005
Umejifunza,mbadilikie kiaina!Yaani Sina maana😂😭
Umejifunza,mbadilikie kiaina!Yaani Sina maana😂😭
Nasubiri siku wanitafute Tena waanze Nye Nye Nye watanikoma😁😂😂Ulichokifanya ni sahihi , kwa sababu tukirudi kwenye uhalisia huwezi kumtetea bwana wake ukamuangamiza rafiki yako 😂😂 rafiki yako mmetoka mbali.
Huyo shemeji ungemchana nae , aache mambo ya kijinga
Yaani siwezi kujichanganya TenaAnyway!
Lipokuja swala la mapenzi, usijichanganye sana na hayo maswala..can you imagine wakati unamdinya hata mchepuko/dem wako unaweza kumwamby tukana wazazi wako, kenge huyo bila aibu unajikuta anatukana matusi kama mwehu!
YOTE KWA YOTE, JITAHIDI KUEPUKA USHAURI WA KIMAPENZI MAANA NI NON PAYABLE JOB!
Saizi na Mimi nawapiga full stop aiseeHatutofautiani sana Mimi watu wananiambia niwashauri kuhusu mapenzi, sjui uhusiano, mara akuambir hv mara vile
Mm nshawapiga onyo full stop kuniletea habari za uhusiano wao sihitaji na wamepunguza
Huyo mwamba hana kifua,.Kuna watu wanapenda vibaya sana, hii ilitukuta maskani. Mchizi wetu alikuwa na mrembo wake na walikuwa kwenye mahusiano muda tu, Sasa siku moja mchizi anatuambia kwenye hayo mahusiano anateseka sana, inshort hajawahi kupewa tunda ikabidi tumshauri achane na yule mrembo na yeye mwenyewe alikubali ushauri wetu.
Baada kama ya siku tatu alikuja yule bint kutuchamba, tena ili kututhibitishia kuwa ile show Ina baraka zote yule bint alikuja na mamake mzazi. Sasa ikawa kama wanapokezana, binti anazisha mamtu anamalizia
Ile siku tulivuliwa nguo na kile kijiwe kilisambaratika.
Ona Sasa,. Na hapo ukute anaona aibu kukufata Tena ushauri🥲Mimi nilimto dada yangu kwanye mahusiano yaliyokua yanamuumiza, tena akaomba akae kwangu kwa muda nikimsaidia mipango yake ikae sawa, hee hata nwezi haukupita shemeji anamrudisha pale kwangu, mara wako zanzibar akapitiliza huko huko hadi vitu vyake ni shangazi yetu alivifuata, mpaka mda huu shemwji yangu ananiona snitch na bado anamtandika matukio
Fresh kabisa, piga tu nasubiriHahha 😂😂,. Kwahiyo naweza kuongea chochote au sio