Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,699
- 5,672
Pole
Wamenivunja moyo,. Kweli Tenaš„¹
Wamenivunja moyo,. Kweli Tenaš„¹
YanayoMapenzi hayanaga mshauri
Vituko, kuna mtu kamfumania mke wa mtu akichakatwa mubashara. Akaenda kusema kwa mume wake kuwa mke amechepuka. Mwenye mke akamuambia mke wake nimeletewa unaa kuwa umechepuka, mke akakanusha. Jamaa mwenye mke akamuambia mke wake kuwa aliyemletea habari ni mchonganishi anayetaka kuvuruga ndoa ya watu, mke akamuunga mkono. Habari zikamfikia jamaa mtoa habari kuwa amesutwa na hao wanandoa. Mtoa habari alijisikia vibaya sana licha ya kuusema ukweli kwa mwanamke mchepukaji
Nipo nae hapa tunasoma thread yako
NNrNe.....
Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..
Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...
Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....
Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...
Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....
Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Njoo na jogoo mkubwa mweusi, mchele kilo 10, mafuta lita 5 na viungo vya pilau nikutengenezee dawa ya kuwgeuza ndondochaNrNe.....
Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..
Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...
Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....
Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...
Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....
Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
Ebu nitumie namba ya simu inbox, ili nijue na mimi nakushauri vipi hilo suala āŗļøāŗļøāŗļøāŗļøāŗļø.NrNe.....
Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..
Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...
Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....
Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...
Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....
Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
ulishaambiwa ndugu wakigombana shika jembe ukalimeNrNe.....
Wakuu Kuna namna watu wa hii nchi wanajitoaga akili sana..
Mwaka Jana Kuna binti alinifata kuniomba ushauri,. Na Kwa jinsi alivyonihadithia matendo ya My wake nikamshauri kiroho safi aachane nae afanye mambo yake ya msingi,. Nikaongea na maneno mawili matatu ili binti anielewe anatakiwa kufanya Nini...
Eti Jana amenipigia simu wamerudiana,. Na alivyokua mshenzi asiniambie mda huo wako wote, me nimeongea maneno yote nimemaliza kumbe wananiskia wote na ilikua video call.....
Hivi ujue kusutwa na mwanaume aibu sana, yaani nilijiskia kufedheheka, mwili mzima baridi, eti naambiwa me Kwa maneno yangu ndo nilisababisha wao wasiwe pamoja,. Eti nimetenganisha familia? Wakati sikua najua kama mda Wana maugomvi Yao binti alikua mjamzito ...
Nakaa nawaza how come amwambie Baby dad wake kwamba mimi ndio nilisababisha ,wakati binti alinifata mwenyewe kuomba ushauri na nikamshauri, . Kama ushauri wangu ulikua hauna maana mbona aliufanyia kazi....
Haya mambo sio ya kunitokea Mimi umri huu... Washenzi kweli hawa
PoleeeVituko, kuna mtu kamfumania mke wa mtu akichakatwa mubashara. Akaenda kusema kwa mume wake kuwa mke amechepuka. Mwenye mke akamuambia mke wake nimeletewa unaa kuwa umechepuka, mke akakanusha. Jamaa mwenye mke akamuambia mke wake kuwa aliyemletea habari ni mchonganishi anayetaka kuvuruga ndoa ya watu, mke akamuunga mkono. Habari zikamfikia jamaa mtoa habari kuwa amesutwa na hao wanandoa. Mtoa habari alijisikia vibaya sana licha ya kuusema ukweli kwa mwanamke mchepukaji