ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,676
- 90,157
hadi tunatoa bure
...mbona ulinikataa??
hadi tunatoa bure
Daah najua ila huyu amenishika aisee, size zangu mambo mengi wanaigiza tamthilia tuu
Wewe sio Kijana Wana kawaida, yawezekana unagawa tigo sasa unatafuta sababu watoto wa kitaa waje kuila kimtindo
[Hahaaa haaaa bahat mbaya mume wake yupo kikazi mwanza na anakuja mara moja moja.
NOTED
Wanajamvi nimetokea kumpenda kimapenzi mama mmoja.
Kwanza amenizidi umri kwan yeye ni mama mwenye watoto watatu na ameolewa ila mm nikijana wa kawaida.
Pili naona kama ameshika dini kwan full time anavaa baibui na pia ni mkali sana hata akiwa anaongea kawaida mtu usiye mjua unaweza sema amekasirika.
Nimezoeana naye kimtindo ila naanya kumtel kwan naogopa anaweza kasirika yakawa mengine.
NOTED.
Jiangalie kijana huo sio ujanja utakuja kuumia kama sio kupotea very soon. Acha kusogelea wake za watu ridhika na hali yako ukishindwa tafuta wa size yako uhangaike nae.
Hakuna kitu kinachukiza kama mkeo kuwa na mahusiano na mwanaume ama kijana mwingine.
Siku njema.
Mkuu unasikitisha sana...kweeeli unaomba msaada wa mawazo? Mchawi akitaka kuloga haombi ushauri kwa mtu yoyote.
Why her? watu wamegharamia wewe unataka kuchukua kiulaini? Wewe unatofaut gani na kwelea kwelea wanaokula mpunga wa mkulima kule shambani? mkulima anateseka wao wanasubiri wavune halafu wao inawezekana ni bora kuliko wewe sababu hawana uwezo wa kulima ila wewe unaacha kutafuta size yako kwa kigezo cha kuogopa gharama unataka kuvunja ndoa usiojua imepitia changamoto gani? Kua na aibu ana uache mawazo yanayoongozwa na AKILI ZA USIKU
Vipi ulivyofumaniwa walikula kitu gani?Usijaribu hicho kitu mimi nilisha fumaniwa na mke wa mtu.
Hilo nimefikiria sana, ila mpaka naandika humu ujue nimeamua kukutana na hayo matatizo
Una miliki mali zipi we dogo?
...mbona ulinikataa??
we tatizo mbahili...
atakuwa namiliki tigo tu
Nimo the legend amekuwa ni mtu Mwenye kujitakia kifo
Nimo the legend amekuwa mtu Mwenye kuweka marinda yake rehani
Ndugu yangu "nikusihii !! siyo kila ukipendacho lazima ukipate " Tafadhali kaa mbali na upuuzi wako, kuwa mbali na ushetwani wako, Jiepushe na zinaa, na zaidi mke wa mtu ni Poison.... usione anakuchekea au mazoea ukajua mengine.Wanajamvi nimetokea kumpenda kimapenzi mama mmoja jirani yangu ila kuna pingamiz ambazo zinanifanya niogope kumwambia.
Kwanza amenizidi umri kwan yeye ni mama mwenye watoto watatu na ameolewa ila mm nikijana wa kawaida.
Pili naona kama ameshika dini kwan full time anavaa baibui na pia ni mkali sana hata akiwa anaongea kawaida mtu usiye mjua unaweza sema amekasirika.
Nimezoeana naye kimtindo ila naanya kumtel kwan naogopa anaweza kasirika yakawa mengine.
Hebu wanajanvi na wazoefu katika hili nisaidieni some hooks up tactics za kumpata
ahahahahahaha............ kweli miss chaga
...ungenipa kwanza, sasa wataka pesa hata kunichum hutaki!!