Nimedata na jirani yangu mke wa mtu

Nimedata na jirani yangu mke wa mtu

Wanajamvi nimetokea kumpenda kimapenzi mama mmoja jirani yangu ila kuna pingamiz ambazo zinanifanya niogope kumwambia.

Kwanza amenizidi umri kwan yeye ni mama mwenye watoto watatu na ameolewa ila mm nikijana wa kawaida.

Pili naona kama ameshika dini kwan full time anavaa baibui na pia ni mkali sana hata akiwa anaongea kawaida mtu usiye mjua unaweza sema amekasirika.

Nimezoeana naye kimtindo ila naanya kumtel kwan naogopa anaweza kasirika yakawa mengine.
Hebu wanajanvi na wazoefu katika hili nisaidieni some hooks up tactics za kumpata

Ukome kuleta mada za kipuuzi. Hayatuhusu.
 
Wanajamvi nimetokea kumpenda kimapenzi mama mmoja jirani yangu ila kuna pingamiz ambazo zinanifanya niogope kumwambia.

Kwanza amenizidi umri kwan yeye ni mama mwenye watoto watatu na ameolewa ila mm nikijana wa kawaida.

Pili naona kama ameshika dini kwan full time anavaa baibui na pia ni mkali sana hata akiwa anaongea kawaida mtu usiye mjua unaweza sema amekasirika.

Nimezoeana naye kimtindo ila naanya kumtel kwan naogopa anaweza kasirika yakawa mengine.
Hebu wanajanvi na wazoefu katika hili nisaidieni some hooks up tactics za kumpata

ngoja nisikushauri kitu yasije yakakukuta ya kukukuta ukasema TECHMAN nae pia alinishauri, kalagabaho
 
Last edited by a moderator:
Eti mke wa mtu na ananizi umri na ana watoto mimi bado kijana. Kweli hapo tukuite una akiri? Nyie ndio mnabaka vikongwe maana hamjui kutafuta wa umri wenu mnataka maji ya kuteremka. Kabla hujaanza ilo zoezi acha hela za jeneza siyo kusumbua watu kuanza kutoa pesa za rambi rambi
Wanajamvi nimetokea kumpenda kimapenzi mama mmoja jirani yangu ila kuna pingamiz ambazo zinanifanya niogope kumwambia.

Kwanza amenizidi umri kwan yeye ni mama mwenye watoto watatu na ameolewa ila mm nikijana wa kawaida.

Pili naona kama ameshika dini kwan full time anavaa baibui na pia ni mkali sana hata akiwa anaongea kawaida mtu usiye mjua unaweza sema amekasirika.

Nimezoeana naye kimtindo ila naanya kumtel kwan naogopa anaweza kasirika yakawa mengine.
Hebu wanajanvi na wazoefu katika hili nisaidieni some hooks up tactics za kumpata
 
Nimepita tu kukusalimu mpendwa!
Angalia usije jipinda kusaidia kutongoza kumbe anaemendewa ni mamsap wako!

..nimefurahi kukuona rafiki.!!
kweli humu kuna giza, usipoangalia unamlengesha mtu wako kabisa!!
 
Chunga katarumbeta kako mkuu,wakikukamata wenyewe wataharibu hako kasauti nyororo ambako huwa unakatoa pindi utoapo upepo.
 
Wanajamvi nimetokea kumpenda kimapenzi mama mmoja jirani yangu ila kuna pingamiz ambazo zinanifanya niogope kumwambia.

Kwanza amenizidi umri kwan yeye ni mama mwenye watoto watatu na ameolewa ila mm nikijana wa kawaida.

Pili naona kama ameshika dini kwan full time anavaa baibui na pia ni mkali sana hata akiwa anaongea kawaida mtu usiye mjua unaweza sema amekasirika.

Nimezoeana naye kimtindo ila naanya kumtel kwan naogopa anaweza kasirika yakawa mengine.
Hebu wanajanvi na wazoefu katika hili nisaidieni some hooks up tactics za kumpata
Sijajisikia vizuri na hii thread yako kwamba Great thinkers wakufundishe namna ya kumzini mke wa shekhe?! Tafadhali mrudie Allah Subhanahu Wa ta'ala akuepushe na madhambi yako. Hata katika Biblia imeandikwa "Usizini." Kutoka 20:14, tena imeandikwa “Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini'. Lakini mimi nawaambia: kwamba ye yote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake" Mathayo 5:27-28.
 
Wanajamvi nimetokea kumpenda kimapenzi mama mmoja jirani yangu ila kuna pingamiz ambazo zinanifanya niogope kumwambia.

Kwanza amenizidi umri kwan yeye ni mama mwenye watoto watatu na ameolewa ila mm nikijana wa kawaida.

Pili naona kama ameshika dini kwan full time anavaa baibui na pia ni mkali sana hata akiwa anaongea kawaida mtu usiye mjua unaweza sema amekasirika.

Nimezoeana naye kimtindo ila naanya kumtel kwan naogopa anaweza kasirika yakawa mengine.
Hebu wanajanvi na wazoefu katika hili nisaidieni some hooks up tactics za kumpata
"..Kula mjomba, hata yeye anakutamaini"
 
Mngojee mwezi wa mfungo;
akienda kununua futari mwambie unaomba
na wewe akununulie ya kwako;

Akileta chenji yote mwachie,
Na kesho rudia hivyo hivyo
walau kwa muda wa juma zima;

Utaona tu ameanza kukufurahia;

................... Ila uwe makini, wakikushtukia tu
kimekula kwako................
Maza acha hizo, kwa mara ya kwanza umesapoti haya mambo!!! Kumbe maza na wewe upo kwenye haya maswala?!!!!
 
endelea kuendekeza tamaa tu ila mwisho ndo utajua kama mke wa mtu ni sumu ama vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom