Maswali ya kujiuliza,1,je simu yako umejisajir kwa jina la kike?2,ulishawai kutaman jinsia yako,3,huwa unaangalia porno za jinsia moja?4,wakati unakubali kuwa mwanamke uliona kawaida?5,je kuna wakati ulibadilisha sauti ilijamaaa asijue kuwa wewe ni mwanaume?Kama majibu ni ndio wewe ni homosexual au tapeli ulie kubuu ila kama majibu ni hapana,wewe unadanganya hakuna ukweli ktk unalosema,Ushauri,mpige mkwara huyo jamaa kuwa umegundua anamtongoza mkeo kwa Namba nyingine na umwambie na viela vyako ulivyomtumia akome kuendelea kutumaHabari wana jamiiforum.Mimi nikijana wa kiume mwenye umri wa miaka kati ya 20-25 hivi.Siku moja nilisitukia nimeingiza kwenye group moja la whatsapp(jina kapuni) pasipo mimi kuwa na taarifa yoyote ile,sasa kule kuingizwa nikawa napimishia tu chating zako nikawa nimetuma sms ya HODI wadau wakaitia karibu.Kuna mdau moja akawa ametuma sms ya mgeni tunaomba picha yako nikatuma picha ya demu fulani hivi mzuri sana wadau wakaanza ooh mgeni we mzuri sana mara ooh mgeni upo wapi mara ooh mgeni nimekupenda nikasitukia mdau moja kanifata inbox nikawa nachati nae na ikumbukwe kuwa hapo nimeficha,nimeongopea jinsia yangu so jamaa akawa anajua kuwa anachati na demu kwa sababu ya ile picha niliyotuma kwenye group.Nilichati nae vizuri kwa kujifananisha kuwa mimi demu mpaka jamaa akafikia hatua ya kuvunja ukimya juu ya ile picha nikawa nimemkubalia jamaa.Sasa jamaa amenituma nauli nimfate aliko maana yupo mkoa tafauti na nilipo mimi na nauli yake si chini ya elfu 80000 na jamaa kanitumia laki moja(100000)na hali niliyonayo Mimi huku si nzuri kwa kweli kiuchumi.Sasa napenda mnishauri kuwa jamaa nimwambie ukweli kuhusu jinsi yangu??au niitumie tu hii hela kwa mambo yangu binafsi???au nimurudishie tu hii hela????.Wapendwa ushauri wenu tafadhali.
ndiyo ujue una elements nyingi za kike!Hapana mkuu nilikuwa namwonyeshea dalili zote kabisa kuwa Mimi mwanaume so jamaa hata hakusitukia aiseeeeee.Ivi kweli utashindwa kujua or kuhisi tu kuwa unachati na mwanaume mwenzio hata kwa mwandiko?????Dah sisi mwanaume bhana huwa tunatapeliwa kizembe kweli.
Maswali ya kujiuliza,1,je simu yako umejisajir kwa jina la kike?2,ulishawai kutaman jinsia yako,3,huwa unaangalia porno za jinsia moja?4,wakati unakubali kuwa mwanamke uliona kawaida?5,je kuna wakati ulibadilisha sauti ilijamaaa asijue kuwa wewe ni mwanaume?Kama majibu ni ndio wewe ni homosexual au tapeli ulie kubuu ila kama majibu ni hapana,wewe unadanganya hakuna ukweli ktk unalosema,Ushauri,mpige mkwara huyo jamaa kuwa umegundua anamtongoza mkeo kwa Namba nyingine na umwambie na viela vyako ulivyomtumia akome kuendelea kutuma
Labda ni zee la miamala mkuu,laki si pesa million hela ya chai(katuma sms hiyo)Hapo naona wote mnamakosa.Huwezi mdanganya mtunkuwa wewe ni mwanamke na akafanya miamala yake.Naye atawezaje kuchat na mwanaume halafu asielewe.Nashuauri urudishe hiyo hela maana ukila utakuwa umehongwa na utatakiwa kuilipia
Piga chini huyo, mpe pesa yake achana nae
ndiyo ujue una elements nyingi za kike!
Alipenda pichaYaani umetongozwa mpaka umekubali na pesa ya mwanaume umeweka kibindoni!!! Dah dunia hii!! Kweli umetongozwa na umekubali? Mwanaume???
Utahimili mikikimikiki ya 100,000 au ndo utaomba poh.We bora unitumie mie hizo hela mchezo uishe
Njoo PM nikumwagie sound jingine huku..mi huwa situmi laki 1 naanzia 2 na kuendelea.Hapana mkuu
Dunia ina mambo..... umelikoroga jiandae kulinywa. Hainiingii akilini kuwa huku dhamiria..