Nimedanganya jinsia yangu

Nimedanganya jinsia yangu

Wenzako walianzaga kama we hivyo mwishowe wakanogewa na kuzoea kabisa.

Utagongwa mkuu,acha kabisa
 
Mkuu hujaona hata aibu kupost hii mada? Unataka ushauri gani hapo sasa?
 
Habari wana jamiiforum.

Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka kati ya 20-25 hivi. Siku moja nilisitukia nimeingiza kwenye group moja la whatsapp (jina kapuni) pasipo mimi kuwa na taarifa yoyote ile, sasa kule kuingizwa nikawa napimishia tu chating zako nikawa nimetuma sms ya hodi wadau wakaitia karibu.

Kuna mdau moja akawa ametuma sms ya mgeni tunaomba picha yako nikatuma picha ya demu fulani hivi mzuri sana wadau wakaanza ooh mgeni we mzuri sana mara ooh! Mgeni upo wapi mara ooh mgeni nimekupenda nikasitukia mdau moja kanifata inbox nikawa nachati nae na ikumbukwe kuwa hapo nimeficha,nimeongopea jinsia yangu so jamaa akawa anajua kuwa anachati na demu kwa sababu ya ile picha niliyotuma kwenye group.

Nilichati nae vizuri kwa kujifananisha kuwa mimi ni msichana mpaka jamaa akafikia hatua ya kuvunja ukimya juu ya ile picha nikawa nimemkubalia jama. Sasa jamaa amenituma nauli nimfate aliko maana yupo mkoa tafauti na nilipo mimi na nauli yake si chini ya elfu 80000 na jamaa kanitumia laki moja(100000) na hali niliyonayo mimi huku si nzuri kwa kweli kiuchumi.Sasa napenda mnishauri kuwa jamaa nimwambie ukweli kuhusu jinsi yangu? Au niitumie tu hii hela kwa mambo yangu binafsi? Au nimurudishie tu hii hela?.

Wapendwa ushauri wenu tafadhali.

Kwanin uziweke mashakan sehemu zako za haja kubwa?
 
Unapata wapi ujasiri wa kuiguza halafu bila haya unaomba ushauri? Wewe ni shoga wala hakuna ubishi. Kawaonbe ushauri mashoga wenzio.
 
Hapana mkuu nilikuwa namwonyeshea dalili zote kabisa kuwa Mimi mwanaume so jamaa hata hakusitukia aiseeeeee.Ivi kweli utashindwa kujua or kuhisi tu kuwa unachati na mwanaume mwenzio hata kwa mwandiko?????Dah sisi mwanaume bhana huwa tunatapeliwa kizembe kweli.

Nauli umeshapewa! we mfuate tu lakini uandae kabisa ile jelly ya KY!!!!!
 
Ukweli pamoja na kwamba mtoa mada kadanganya, mii namuona huyo aliyedanganywa na akadanganyika ndo boya kabisa. Hizo ndo heza za ESCROW, ni halali uzile alafu jitoe kwenye hilo group. Haiji akilini hela ulizosotea kwa jasho lako unaona picha tuu unatuma hela hata hujaongea naye. Hizo hela za dezo.

Mimi kuna kipindi nilikuwa na room mate wangu tunasoma chuo fulani. Siku moja kaja room anajisifia kuwa kuna mtandao fulani kwenye internet jamaa kapata demu, basi akanieleza kila kitu. Kesho yake nikajisajili kwa jina la kike, nikaweka details zangu. Jamaa kaja ananiomba friendship nikamruhusu, nikamwambia mi nasoma chuo mwaka wa kwanza,. Akaniomba nijieleze shape yangu urefu na vitu vingine basi nikamuwekea sifa nzuuuuuri kama alivyo Lulu Michael.

Acha bwana jamaa usiku karudi anafurahi kama vile drogba kafunga goli kwenye fainali ya Champions League, akanisimulia kapata demu mwingine mzuriiiii. Nami nikajiunga kumsifia. Nikaendelea kuchat naye kama wiki hivi. Basi anajisifia, akanipa details zote. Kiukweli nilikuja kumdharau sana. Siku moja nikatibuana naye nikampa live kuwa alikuwa anachat na mimi. Daaah from that day urafiki wetu ukaisha
 
Back
Top Bottom