T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
- Thread starter
- #81
mpe ukwel wewe n mwanaume ajue kabisa katapeliwa
We ndo umeshauri sasa mkuu
mpe ukwel wewe n mwanaume ajue kabisa katapeliwa
Kwa hiyo unatangaza biashara yako kiaina hapa jukwaan watu wajue huwa unatoa mlango wa kuzimu au??
Job true true
Mwanzo mzuri huo endelea tu anza kununua na ky uwe unatembea nayo
Mkuu wapi nimeandika kuwa nimekula pesa ya mwanaume?Ukhanithi unaanza hivhivi.... utazoea kula pesa za wanaume wenzako lakini kumbuka za mwizi 40
Nimekuelewa vizuri sana tu mkuuIvi unaanzaje kijiunga magroup ya what's app ambalo una mtu unayejuana nae lazima litakuwa la mambo ya ngono tu kama la biashara au mpira awezi kuzungumzia ngono atume paka nauli pili wewe ni mwanaume Wa aina gani ambaye umeweza kujifanya mwanamke na kutumia mbinu za kike ukatumiwa nauli ndugu mwanaume Wa kweli awezi Fanya ujinga hu ata kidogo jichunguze unapoelekea Kwa Obama
mla vya watu naye huliwa
Una ushoga fulani hiviHabari wana jamiiforum.Mimi nikijana wa kiume mwenye umri wa miaka kati ya 20-25 hivi.Siku moja nilisitukia nimeingiza kwenye group moja la whatsapp(jina kapuni) pasipo mimi kuwa na taarifa yoyote ile,sasa kule kuingizwa nikawa napimishia tu chating zako nikawa nimetuma sms ya HODI wadau wakaitia karibu.Kuna mdau moja akawa ametuma sms ya mgeni tunaomba picha yako nikatuma picha ya demu fulani hivi mzuri sana wadau wakaanza ooh mgeni we mzuri sana mara ooh mgeni upo wapi mara ooh mgeni nimekupenda nikasitukia mdau moja kanifata inbox nikawa nachati nae na ikumbukwe kuwa hapo nimeficha,nimeongopea jinsia yangu so jamaa akawa anajua kuwa anachati na demu kwa sababu ya ile picha niliyotuma kwenye group.Nilichati nae vizuri kwa kujifananisha kuwa mimi demu mpaka jamaa akafikia hatua ya kuvunja ukimya juu ya ile picha nikawa nimemkubalia jamaa.Sasa jamaa amenituma nauli nimfate aliko maana yupo mkoa tafauti na nilipo mimi na nauli yake si chini ya elfu 80000 na jamaa kanitumia laki moja(100000)na hali niliyonayo Mimi huku si nzuri kwa kweli kiuchumi.Sasa napenda mnishauri kuwa jamaa nimwambie ukweli kuhusu jinsi yangu??au niitumie tu hii hela kwa mambo yangu binafsi???au nimurudishie tu hii hela????.Wapendwa ushauri wenu tafadhali.
Hapa hakuna mwanaume
chat na hao hao ,ukichat na machali wa mombasa lazima tukutumbue kidude chako
Una ushoga fulani hivi
Hapa hakuna mwanaume