Hapo mwisho upo sawa kabisa mkuu''Nilichati nae vizuri kwa kujifananisha kuwa mimi demu mpaka jamaa akafikia hatua ya kuvunja ukimya juu ya ile picha nikawa nimemkubalia jamaa.''
1. Umemkubalia nini?
2. Unajifananishaje kuwa wewe ni demu? Huoni tatizo hapo?
''jamaa kanitumia laki moja(100000)na hali niliyonayo Mimi huku si nzuri kwa kweli kiuchumi''
3. Hela uliyotumiwa ni ya kwenda kukamilisha hicho mlichokubaliana hapo juu, kwanini unataka kuitumia?
4. hali mbaya ya uchumi haiwezi kuisha kwa kujifananisha/kujifanya mwanamke.
Mwisho, hii inaonyesha tu hali mbaya illiyopo kwenye mitandao.
.
Viva89 huyu jamaa nilishindwa kumwelewa kwa kweli.Ivi kweli kwa akili tu yakawaida utashindwa kugundua huyu ni mwanaume?? isitoshe laini,namba yangu nimeisajili kwa jina langu la kiume. Dah nipe namba yako viva nikutumie hata elfu kumi(10000)
Kumbe ni OR7Aaah kumbe ni T 1990 ELY ?
Eeh nitumie basi fasta
Akhsante sana kwa ushauri wakoRudisha pesa ya mtu, mweleze ukweli afu jitoe kwenye grup hilo, la sivyo ukila hiyo hela, ndo ita kuwa staili yako ya kutafuta hela kudanganya jinsia. Kuwa makini na utakachokiamua tofauti na hapo.
Kingine unamhatarishia maisha huyo binti mrembo(uliyotumia picha yake) na hata wewe pia utakuwa hatarini
MmmmmmmmmmmnHali ilivyo ngumu, wewe nenda bwana. Ukifika akakuona mkaka si ajabu akakupa milioni. Kama umechat nae whatsup, hadi mnatumiana nauli hajaskia sauti yako? Weeh nenda kitaeleweka huko huko
Aombee huyo pedeshee asiwe Na akili za Kigogo za kutembea Na vikopo vya rays mfukoniHali ilivyo ngumu, wewe nenda bwana. Ukifika akakuona mkaka si ajabu akakupa milioni. Kama umechat nae whatsup, hadi mnatumiana nauli hajaskia sauti yako? Weeh nenda kitaeleweka huko huko
Jiandae kwa lolote
Jf raha jamani.
sijui ulifikiria nini mpaka unadanganya hivyo au mwenzetu punga chele
hahahahaaaa, alijitoa ufahamu...mi napokeaga si chini ya 80000 hahahahaaaa
kama vp ni PM fasta tkazitumie leo.