babyclassic
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 227
- 39
Duuuh nitumie mi hiyo pesa
Mwenyewe
Wewe unakokwenda pabaya? Ss hv watakupumulia kisigon
Hapana mkuu nilikuwa namwonyeshea dalili zote kabisa kuwa Mimi mwanaume so jamaa hata hakusitukia aiseeeeee.Ivi kweli utashindwa kujua or kuhisi tu kuwa unachati na mwanaume mwenzio hata kwa mwandiko?????Dah sisi mwanaume bhana huwa tunatapeliwa kizembe kweli.
Akhsante sana kwa ushauri wako
jamani ubahili ni kitu kibaya zaidi ya 95% wanaume wa jf wabahili sana kupiga sim ebu yamkute unakuta lijitu linachaaaaaaaaaaati mpaka mwaka unaisha hajawai kupiga sim hiv huu si usenge???? Mwanaume jiamin babu ukipewa no ya mdada mpandie hewani hata usikie sauti yake. Jaman wan gf spend wanaume wa kuchart basi tuu mi sms mirefuuu kama barabara ishiiiiiii
Hapana mkuu nilikuwa namwonyeshea dalili zote kabisa kuwa Mimi mwanaume so jamaa hata hakusitukia aiseeeeee.Ivi kweli utashindwa kujua or kuhisi tu kuwa unachati na mwanaume mwenzio hata kwa mwandiko?????Dah sisi mwanaume bhana huwa tunatapeliwa kizembe kweli.
Duuuh nitumie mi hiyo pesa
Fanya kama unambrock assap atakutafuta mpaka atachoka.
ila acha tabia za kike utafi**a
Ni PM namba zako nikutumie baby classic
Weka hiyo picha uliyotuma nasi tuione mkuuu......
ulivokuwa na njaa kweli utairudisha??? Kwa ishauri ili uoneshe kuwa wewe ni mwanaume wa ukweli embu mrudishie na mungu apate pa kuanza kukusaidia
kama yalishaga kuthibu vile mpendwa au umetorea mfano tu luckylinejamani ubahili ni kitu kibaya zaidi ya 95% wanaume wa jf wabahili sana kupiga sim ebu yamkute unakuta lijitu linachaaaaaaaaaaati mpaka mwaka unaisha hajawai kupiga sim hiv huu si usenge???? Mwanaume jiamin babu ukipewa no ya mdada mpandie hewani hata usikie sauti yake. Jaman wan gf spend wanaume wa kuchart basi tuu mi sms mirefuuu kama barabara ishiiiiiii