macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 22,308
- 40,828
Haya yanahitaji matendo siyo maneno matupu kama unavyodhania. Watawala wetu wapumbavu ndiyo wanasababisha hii hali. Ndiyo hasara ya kuwapa uongozi watu wenye upeo mdogo wa kuchambua mambo.Viongozi, siasa na dini zisitugawe.