Nimechoshwa na tabia zake huyu kaka

Nimechoshwa na tabia zake huyu kaka

Hahaha mkuu nimemjibu kitaalam ili aingie ktk tulichowaza,
Subir uone jibu atakalo toa halafu ufananishe ndo utajua nimemweka mtego,

Huyu nimuogope kwa lipi sasa,
Anaepewa 20k nimuogope acha utan comred

Loooh aiseee uelewa ni mdogo sana mm nipewe 20k !! sikatai naeza pewa .....ww Huezi kusanya data kabisa hiyo pesa alikuwa anatumiwa huyo alieambiwa usinipigie niko semina duuh kazi kwelikweli wadau
 
Loooh aiseee uelewa ni mdogo sana mm nipewe 20k !! sikatai naeza pewa .....ww Huezi kusanya data kabisa hiyo pesa alikuwa anatumiwa huyo alieambiwa usinipigie niko semina duuh kazi kwelikweli wadau
Sawa kabisaa jibu murua,sasa naomba unijibu umeolewa?
 
Haaahaaa shida ushazoea kudanganywa‍♀️
Full kuumbuliwa na mauwongo + masinema yako...

Anyway we ni mgeni humu hujui lolote na unatafuta kiki kwa nguvu, ngoja nikupotezee
 
Nasema ukweli chini yajua hakuna Mwanaume mkamilifu ila wapo sana wanawake wengi wakamilifu
Based on your experience hawapo. But in my experience wapo, and through my life time nimewaona , nimeshudia kwaa macho yangu mwenyewe.

Hii ishu ya kurishiana lawama everday, wanawake wanawarushia wanaume na wanaume wanawarushia wanawake, mtalaumiana mpaka kiama.
Just have to accept people a different
 
Kusanya dot mbaka naanza hayo alishaanza nikatisha tamaaa ,jana ndio kanimaliza kabisaa wakuu muwe mnatulia mnaposoma sio kuita watu waongo haipendezi.
Sasa kama ni hivyo, lete full stori sasa tuchangie mada inayoeleweka!? Ok?

Atleast ungerefer back basi, that's y unaonekana cha uwongo!
Looh! Kunywa maji kidogo mkuu utapaliwa na imani yako ni hafifu sana .sikunyingine ukiona jambo unahisi ni uzushi basi pita tuu mkuu ,na unapopinga hoja za mtu na kumwita mzushi bila kujua undani na ww unakuwa mzushi kama kuniita mwongo huo ni uzushi mkuu .
 
Kitu kidogo hivi unalia humu? Pole ila hongera uko katk kukuwa kiakili na kimawazo!
 
mbona mapema sana kutoa judgement... mpe muda mana mapenzi ni sawa na kamari mkuu.
 
Back
Top Bottom