Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 28,992
- 51,471
Midumare si kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume kuwa na tamaa na kuweza kuzidhibiti tamaa zake.Hapana Dada yangu nakushauri sana na ninaomba unisikikize
Mnampango wowote hule wakuja kuishi pamoja
Nhumbani kwenu wanamfahamu huyo
Naomba kaa nae chini mwambie vitu vya umuhimu sana atakuelewa.kumbuka toka kwangu Mwanaume mkamikifu ni mtoto mdogo wakiume anayelala na wewe kitandani amabaye umemzaa.akishakupata akili sio tena Mwaminifu
Tembea na usemi huu daima katika maisha yako.
Wanaume wote ni Mbwa au fisi,
Maana yake sisi sote wanaume tunaa tamaa kubwa sana
Wewe hujawai kuwaona wanaume wanatoka na wanawake ambao ukiwalinganisha na wake zao unashangaa unasema huyu Baba amekosa nini kwa mke wake
Pole sana sana,,
Wengibhawawezi kuzidhibiti, lakini wako wachache wenye uwezo huo.
Si wanaume wote ni wapumbav kiasi hiko. Wanaojiheshim wapo
