Kwa hiyo na babako ni mbwa au fisi?Hapana Dada yangu nakushauri sana na ninaomba unisikikize
Mnampango wowote hule wakuja kuishi pamoja
Nhumbani kwenu wanamfahamu huyo
Naomba kaa nae chini mwambie vitu vya umuhimu sana atakuelewa.kumbuka toka kwangu Mwanaume mkamikifu ni mtoto mdogo wakiume anayelala na wewe kitandani amabaye umemzaa.akishakupata akili sio tena Mwaminifu
Tembea na usemi huu daima katika maisha yako.
Wanaume wote ni Mbwa au fisi,
Maana yake sisi sote wanaume tunaa tamaa kubwa sana
Wewe hujawai kuwaona wanaume wanatoka na wanawake ambao ukiwalinganisha na wake zao unashangaa unasema huyu Baba amekosa nini kwa mke wake
Pole sana sana,,
vp ulisha wahi kuzungumza nae kuhusiana na hilo tatzo?Nafikir ni kabla ya kuchukua maamuz yeyote yale omba kuongea nae face to face then utagundua kitu kilichopo kat yenu.Jarbu kumueleza jinsi tabia yake inavyoanza badilika cku had cku,majbu yake yasio ridhika kwako then mpe nafasi ya kujielezea ili ugundue tatzo lake ni nini kwako.
Naamin kwa kufanya hyo mtakubaliana na mtaendelea na maisha.pole sana
LA KUVUNDA HALINA UBANIHapana Dada yangu nakushauri sana na ninaomba unisikikize
Mnampango wowote hule wakuja kuishi pamoja
Nhumbani kwenu wanamfahamu huyo
Naomba kaa nae chini mwambie vitu vya umuhimu sana atakuelewa.kumbuka toka kwangu Mwanaume mkamikifu ni mtoto mdogo wakiume anayelala na wewe kitandani amabaye umemzaa.akishakupata akili sio tena Mwaminifu
Tembea na usemi huu daima katika maisha yako.
Wanaume wote ni Mbwa au fisi,
Maana yake sisi sote wanaume tunaa tamaa kubwa sana
Wewe hujawai kuwaona wanaume wanatoka na wanawake ambao ukiwalinganisha na wake zao unashangaa unasema huyu Baba amekosa nini kwa mke wake
Pole sana sana,,
Historia yenu itakua mmepitia mengi ambayo akikuacha wanaowafahamu watamsema;jaribu ku beep kumuacha uoneNilihisi hilo pia mkuu ila misamaha mingi ndio inanishangaza
Mod mbona nimemjibu laziz wangu johappy lakini mmefuta post yangu? Tabia ya kifedhuli kabisa hii!!!! Haikubaliki.
Johappy njoo PM. Nimesamehe yote yaliyotokea, na nimekusamehe . Nashangaa umekuja kunisema huku!!![emoji15][emoji15]
Njoo PM tuyajenge!!! Huko kwenye cm & Whatsapp imeni block. Utaniua kwa pressure mwenzio.
Bahati mbaya jamaa yako yuko speed tu,lakini wanaume wengi tunakula magoma na wake zetu wapo pasina kujua.Alichokosea huyo jamaa ni kukosa mbinu za kula vitu kimyakimya.Unamwacha huyo jamaa unauhakika atakaefuata ni salama?Dunia kijiji siku hizi angalia usije pata jamaa linalotoka 3some na ule mtandao wao wa 0713
Haaahaa nacheka kama mazuri .