Nimechoka sana na maisha

Nimechoka sana na maisha

Si lazima ukubalike na kila rafiki ili maisha yako ya nyoke au yawe mazuri, madeni unaweza weka dhamira ukaanza kufuta moja baada ya lingine ukawa mtu mpya kabisa, swala la mshahara i mean vuta subira utapata kazi nyingine tu, usiwaze kazi uliyonayo sio ya kudumu au nilazima ufe nayo, halafu jifunze kujikubali acha kujidharau na kukata tamaa
 
Aise una hivyo vyote na huna furaha still! kwa upande wangu sina ajira na nina kashahada kangu kazuri tu, nipo nipo yani sina kabinti, sina rafiki wa kusema nitabadilishana nae mawili matatu na ninakaa geto peke yangu, yaani kiujumla niponipo tu nadhani unaelewa nikisema niponipo tu lakini sijawahi jutia kuwepo duniani hata kidogo kwa kweli naenjoy to the fullest na hiyo ni kwa sababu najitengezea furaha kutoka katika maandiko matakatifu pia sala zinasaidia kunifanya nione hata hapa duniani ni sehemu salama ya Mimi kuwepo mpaka pale Muumba atakapoamua kuichukua namba yake.
 
Furaha ya kweli kuwa na Yesu! Mtafute Mungu utaenjoy maisha ya duniani.
Wacha kumpoteza maboya.

Yesu alayhi salaam alivyopatwa na matatizo yeye mwenyewe alimuomba Mwenyezi Mungu Muumba wake...

Luka 22:
41Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba, 42akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke.
 
Wacha kumpoteza maboya.

Yesu alayhi salaam alivyopatwa na matatizo yeye mwenyewe alimuomba Mwenyezi Mungu Muumba wake...

Luka 22:
41Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba, 42akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke.
Ahsante kwa nukuu bibi faiza
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Hahahaha kwa maandiko yako inaonesha uliharibu ndoa ya mtu.

Sasa krismasi ulitamani uwe nae kakutosa, kaona mchepuko hauna maana.

Dhambi ya uzinzi ni mbaya sana.

Kafanya mema sana kukutosa kwani ungesherehekea krismasi ungeongeza dhambi .

Sasa tumia fursa hiyo, njoo katika Uislam ujisalimishe kwa Allah na uondokane na hayo mambo ya kidunia.
 
Hahahaha kwa maandiko yako inaonesha ukiharibu ndoa ya mtu.

Sasa krismasi ulitamani uwe nae kakutosa, kuona mchepuko hauna maana.

Dhambi ya uzinzi ni mbaya sana.

Kufanya mema sana kukutosa kwani ungesherehekea krismasi ungeongeza dhambi .

Sasa tumia njoo katika Uislam ujisalimishe kwa Allah na uondokane na hayo mambo ya kidunia.
Umemuwekea maneno mdomoni...
Hajatamka wazi ni Jambo gani haswa alilifanya linalomtesa...
 
Kuna wakati huwa najiuliza hivi kwanini huyu Mungu anaachia uovu mwingi uendelee katika Dunia hii?
Sometimes hold on some stuffs cause huge damage than letting it go. Kuendelea kuning'inia kwenye senyenge kunaleta maumivu na madhara zaidi kuliko kuachia uanguke. Kukaa na jino linalouma kwa muda mrefu ni mateso zaidi kuliko kuling'oa.

Mimi mwenyewe napitia mengi zaidi itafika muda nitauachia huu mwili kwa kudhamiria mwenyewe niende huko rohoni nikamuulize maswali baba yangu Mungu, why did he let me suffer this way?
Du tatizo nini labda...umepata tatizo la kiafya?...umepata ulemavu ambao hukuzaliwa nao?...au umeondokewa na loved one (hii baada ya muda inajitibu tu)? una kesi ya kwenda jela muda mrefu?

Hivyo ndio vitu ninavyoviogopa duniani...ila mambo ya pesa hayanichanganyi akili kiviile japo kuzitafuta siachi...hakuna sehemu imeandikwa mpaka uendeshe Benz au ujenge ghorofa ndio uwe na furaha...ni brainwashings tu za kidunia
 
Umesema uliyaharibu mambo miaka iliyopita na sasa unaona matokeo yake. Kwa nini unamlaumu aliyekuumba?
Yatapita, ila upate somo usije rudia kosa.
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Ila weweee!
 
Usiwe materialistic katika haya maisha kwani utajikuta umefanya maamuzi ya ajabu shukuru kill ulichojaaliwa lipa kile unachodaiwa tumia kile kilichobaki,jinyime kwa wakati huu ili upigane na hi Hali cause nothing is permanent,usimtegemee mpenzi akupe faraja you will always be broken faraja yako imtegemee mungu na mipango yako inavyokwenda
 
R.I.P,waliowahi kujiua wote waliruhusu agano kama lako na nakuhakikishia kama sio huu mwaka basi hipo Sikh utajitoa uhai kwa kujiua.
Ilo ni pepo na yakupasa ulikemee sana ndugu yangu nje ya hapo either kazini au mahusiano yatakatisha maisha yako
 
Nani alikuambia ukifa unaenda kupumzika especially kama hujafanya maandalizi kwa ajili ya kesho yako
Yapo maandiko mengi katika dini hasa kwa sisi waislamu

Sema tu sijapewa ruksa ningekuwekea hapa
 
Mleta Mada eleza hayo madeni ni ya kitu gani? Luxury goods kama madeni ya mikopo ya magari au luxurious life styles au ya nini? Marafiki kutoroka mara ingine ni utapeli husababisha unatapeli marafiki wanaamua kukubwaga au wewe unajali yako ya marafiki huyajali ila unataka wao ndio wawe wanajali sana ya kwako. Wao wakiwa na shida non of your business ila wewe ukiwa na shida unataka dunia yote ya marafikI waje kwako. Hebu eleza yalianzaje hayo madeni hadi kulimbilikizana hadi kuwa ugonjwa wa moyo
 
Jitaidi ulipe madeni na pia usikope tena kama hauna sababu ya msingi .Kama kitu hauna uwezo wa kukipata unakiacha sio lazima upate kila kitu.Kaa karibu na viongozi wa kiroho wakuombee uikomboe nafsi na maroho ya mauti kama mpenzi anakuzingua piga chini .
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.

Matokeo yake ni haya.Dada tulia,si Kwako tu ni Kwa wengi ugumu upo.
 
Usikate tamaa. Maisha ndio yako hivyo hakuna maisha tofauti na hayo. Fanyia kazi changamoto ulizo nazo zilizo ndan ya uwezo wako na zile zilizo nje ya uwezo wako mkabidhi Mungu. Maisha yana vipindi tofauti.kuna nyakati za vilio na nyakati za vicheko, kuna nyakati za furaha na nyajati za huzuni. Ipo siku yatapita na utaingia katika nyakati zako za furaha na wenye furaha sasa nao watakua wakipita ktk magumu yao.kuna msemo unasema " he who loughs last loughs longest" utapata furaha ya kudumu. Kwa msaada zaid wa kiroho na ushauri tuwasliane 0692 906077. And life is not permanent so dont take every thing serious.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom