Nimechoka sana na maisha

Nimechoka sana na maisha

....
Screenshot_2018-12-18-11-12-41-277_com.gbinsta.android.jpeg
 
Una kazi na unasema umeyachoka maisha , asiyekuwa na kazi atasemaje ? Panga mda wako vizuri , tumia mshahara wako vizuri , usipende makuu , jichanganye na watu na maisha yatasonga mbele . Kila la kheri
 
Una kazi na unasema umeyachoka maisha , asiyekuwa na kazi atasemaje ? Panga mda wako vizuri , tumia mshahara wako vizuri , usipende makuu , jichanganye na watu na maisha yatasonga mbele . Kila la kheri
Hivi.....
Kama hamjui hii lugha, kwanini mnajiabisha hivi...
 
Kuna wakati huwa najiuliza hivi kwanini huyu Mungu anaachia uovu mwingi uendelee katika Dunia hii?
Sometimes hold on some stuffs cause huge damage than letting it go. Kuendelea kuning'inia kwenye senyenge kunaleta maumivu na madhara zaidi kuliko kuachia uanguke. Kukaa na jino linalouma kwa muda mrefu ni mateso zaidi kuliko kuling'oa.

Mimi mwenyewe napitia mengi zaidi itafika muda nitauachia huu mwili kwa kudhamiria mwenyewe niende huko rohoni nikamuulize maswali baba yangu Mungu, why did he let me suffer this way?
 
kasome kitabu cha Ayubu katika biblia nadhani utajifunza kitu.....uhai unathamani sana kuliko yote
 
Nimeona nisipite kimya kimya. ..

1.kitu Ulichofanya ...kinakutesa sababu haujajisamehe.

2.Kuwa mtu wa kusali ili usimpe shetani ushindi

NB: Mungu ana jambo na wewe. ..jipe moyo
 
Kuna wakati huwa najiuliza hivi kwanini huyu Mungu anaachia uovu mwingi uendelee katika Dunia hii?
Sometimes hold on some stuffs cause huge damage than letting it go. Kuendelea kuning'inia kwenye senyenge kunaleta maumivu na madhara zaidi kuliko kuachia uanguke. Kukaa na jino linalouma kwa muda mrefu ni mateso zaidi kuliko kuling'oa.

Mimi mwenyewe napitia mengi zaidi itafika muda nitauachia huu mwili kwa kudhamiria mwenyewe niende huko rohoni nikamuulize maswali baba yangu Mungu, why did he let me suffer this way?
Mkuu umenena...
Hii dunia ...
Unaweza vumilia..ukahangaika ...kutafuta tahfif...lakini ..kumbe ndio kama ulikuwa unasafisha njia ili kubwa zaidi la kutisha lije!
Hadi unajiuliza hivi nimekosa nini mimi!
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini

Life is like a book. Some chapters sad, some happy, and some exciting. But if you never turn the page. You will never know what the next chapter holds.

C & P
 
Nakumbuka niliwai kuwa kwenye depression km unayopitia wewe na nilikuwa natamani tu kufa muda wote lkn niliweza kujiponya kwa imani kupitia maandiko ya biblia. Ebu isome hii zaburi ya 27 kwa imani tena uirudie rudui alafu utaona mabadiliko mwenyewe.
Zaburi 27:
1 Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani?
2 Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.
3 Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa. Vita vijaponitokea, Hata hapo nitatumaini.
4 Neno Moja nimelitaka kwa Bwana, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa Bwana Siku zote za maisha yangu, Niutazame uzuri wa Bwana, Na kutafakari hekaluni mwake.
5 Mradi atanisitiri bandani mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya mwamba.
6 Na sasa kichwa changu kitainuka Juu ya adui zangu wanaonizunguka. Nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake; Nitaimba, naam, nitamhimidi Bwana.
7 Ee Bwana, usikie, kwa sauti yangu ninalia, Unifadhili, unijibu.
8 Uliposema, Nitafuteni uso wangu, Moyo wangu umekuambia, Bwana, uso wako nitautafuta.
9 Usinifiche uso wako, Usijiepushe na mtumishi wako kwa hasira. Umekuwa msaada wangu, usinitupe, Wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.
10 Baba yangu na mama yangu wameniacha, Bali Bwana atanikaribisha kwake.
11 Ee Bwana, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea;
12 Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wameniondokea, Nao watoao jeuri kama pumzi.
13 Naamini ya kuwa nitauona wema wa Bwana Katika nchi ya walio hai.
14 Umngoje Bwana, uwe hodari, Upige moyo konde, naam, umngoje Bwana.
 
Umesema ni Karma inakusumbua... Unaweza kutuambia uliwafanyia wakina Nani ubaya na ulikuwa ubaya gani ?


UJUMBE: Tuache kuonea na kutesa watu kwasababu ya vyeo au utajiri.
 
Ninacho kiamini kutoka kwako mkuu nikwamba, unajitaftia dhambi kwasababu ukiwa kama binadam ulieumbwa pasipo na hata upungufu wa kiungo chochote chenye kukufanya ukashughurika na kujipatia hata kisenti na ukakidhi mahitaji yako.

Haiishii hapo tu unao uwezo wakuongea na kuzungumza kiingereza means unayo elimu na maarifa ambayo natumaini ni mtaji tosha sana wakukukomboa ulipo na kukupeleka mahara pazuri zaidi ambapo nahisi inaweza kuwa ikawa ndoto yako.

Moja ya amri kuu za mungu inasema, "usilitaje jina la Mungu wako bure... ' na yawezekana ulikuwa ukiandika thread hii ukiwa na msongo wa mawazo ila popote ulipo ningelikusihi tu ya kwamba, badili mtizamo wako na fikiri Kwa namna yatofauti zaidi juu ya jambo gani ungependa kufanya na ikakupa furaha na amani moyoni mwako pasipo kusahau kumrudia muumba wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom