Nimechoka sana na maisha

Nimechoka sana na maisha

Wakati huu ndio Mungu huchukua nafasi pale anapohitajiwa
Mara nyingi tukiwa na pesa za kuendesha maisha na vitu vinaweza kupatika kupitia mali tulizo nazo huwa hatumuhitaji Mungu
Mara nyingi tukiwa na afya tunaona hatuna shida na Mungu
Pale tuna marafiki au mahusiano wazuri huwa Mungu si chochote kwetu
UKWELI NI HUU
Mtu nje na Mungu si chochote tangu dhambi iwepo tuko subjected na kila namna ya mabaya
Nashangaa sana hata mdudu mdogo hutumudu hata kufanya tuugue mf plasmodium vivae hutupa malaria
Sasa Rafiki huo ndio wakati ambapo Mungu anakutumainia umuelewe na kumuuamini
Wewe UMEPENDWA sana na Mungu kiasi cha Mungu kulinga mbele za ibilisi kuwa wewe ni mtu wake

8 Kisha Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.
Ayubu 1 :8

9 Ndipo Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha Bwana bure?
Ayubu 1 :9

10 Wewe hukumzingira kwa ukigo pande zote, pamoja na nyumba yake, na vitu vyote alivyo navyo? Kazi za mikono yake umezibarikia, nayo mali yake imeongezeka katika nchi.
Ayubu 1 :10

11 Lakini nyosha mkono wako sasa, uyaguse hayo yote aliyo nayo, naye atakukufuru mbele za uso wako.
Ayubu 1 :11



Shetani amepeleka jibu kwa hoja hii ya Mungu kuwa upendo wako kwa Mungu ni kwa sababu fulani tu. Kuwa Mungu amekubariki na kukulinda KWAMBA Mungu akivitoa humupendi
Sasa THIBITISHA kuwa wewe kama Mungu alivyojivunia kuwa u mtu wake si kwa sababu. THIBTISHA
wala usimuabishe Mungu
Baada ya vita hii atakuzidisha mara dufu
 
sawa! lakini ukweli ni kuwa huyo mchungaji alidanganya japo yawezekana ni kwa nia njema.
Hata kwenye Bible kuna watu walikataa tamaa lakini Mungu hakuwahesabia dhambi ya kutosamehewa.
yawezekana alikosea.
 
Mmh ni madeni tu au kuna jingine.maana kama ni madeni tupo wengi
 
maisha ni magumu kwa watu wengi, cha kufanya rahisisha mahitaji yako, kuwa na imani thabiti, marafiki waliokutenga usiwawazie tafuta marafik wapya watakaoendana na hali yako na kukujali, jifunze kumuhusu MUNGU, utapata faraja sn
 
Pole sana mkuu '' unatatizwa na nini zaidi kwa kina ukiachana na madeni uliyonayo. Nini sababu iliyopelekea marafik zako kukutenga... Huyo karma anayekuadhibu ulimtengeneza kwa kufanya tukio gani ?

Naomba nimalizie na pole kwa mara nyingine tena
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Rafiki Mjue sana Mungu,ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyo kujia. Ayubu 22:21
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Mitihani kwa binadamu ni sehemu ya maisha usione watu wanacheka ukadhani hawana mitihani, kumbuka nahodha hodari hajaribiwi kwa bahari tuli, cha msingi ni kukabiliana nayo maadam afya yako safi, tambua kabisa hapo ulipo kuna watu wanatamani wawe kama wewe japo wewe unaweza ona ni kawaida namalizia kwa kukuachia msemo wa wenzetu " The Secret of happiness you see, is not found in seeking more, but in developing the capacity to enjoy less"
 
Tango pori!
kukata tamaa sio dhambi isiyosamehewa bali kumkufuru Roho Mtakatifu ndio dhambi isiyosamehewa.
The rest of your message is good.
Unajua roho mtakatifu anakufuriwa vip? kukata tamaa ni kumkufuru roho mtakatifu pia
 
Unajua roho mtakatifu anakufuriwa vip? kukata tamaa ni kumkufuru roho mtakatifu pia
usinidanganye kijana
Eliya na Yona ni miongoni mwa watu waliokata tamaa kiasi cha kuomba kufa
Je walimkufuru Roho Mtakatifu?
Sara naye alikuwa amekata tamaa
Watu wengi wanakataa tamaa kila siku je hao wote hawasamehewi?
Ina maana mleta mada hawezi kusamehewa maana kwa madai wako tayari amemkufuru Roho Mtakatifu kwa kukata tamaa.
Usiongeze wala kupunguza neno la Mungu hata kama ni kwa nia njema.
Note; sio vyema kukata tamaa.
 
True...napitia kipindi kigumu mno now,_ila naamini kabisa kitaisha sikati tamaa

Ushaanza Kujichanganya na ID angalie ID uliyoanzisha nayo uzi na hii uliyojibu hapa kama zinafanana.

Ndugu, Shetani anataka ufe, he is looking for every way to make you see life has no meaning, Please dont kill yourself kwasababu huko ndiko shetani atakupeleka.

Nakushauri Jaribu kusali mrudie Mungu kama ulimsahau Mungu ndio ibilisi sasa anavuna alichopanda kwako
 
usinidanganye kijana
Eliya na Yona ni miongoni mwa watu waliokata tamaa kiasi cha kuomba kufa
Je walimkufuru Roho Mtakatifu?
Sara naye alikuwa amekata tamaa
Watu wengi wanakataa tamaa kila siku je hao wote hawasamehewi?
Ina maana mleta mada hawezi kusamehewa maana kwa madai wako tayari amemkufuru Roho Mtakatifu kwa kukata tamaa.
Usiongeze wala kupunguza neno la Mungu hata kama ni kwa nia njema.
Note; sio vyema kukata tamaa.
Hivi unajua maana ya KUKATA TAMAA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom