Nimechoka sana na maisha

Nimechoka sana na maisha

Hilo swali la mwisho ni SWALI LA MSINGI.

hupaswi kufanya maamuzi mengine yoyote, kabla hujapata jibu la hilo swali.
 
Dada furaha ya kweli iko kwa Yesu tuu,, mtafute Mungu kwanza akupe suluhisho la maisha yako,,, na utatamani kufa tuu kama hutokubali hayo maisha yako na kuanza kuyabadilisha,, una kazi inayokufanya uishi then you disappoint youself, calm down darling life is so sweeet, na itakuwa umechoka pilau la sikukuu sio bure wewe,,, maisha matam jaman uwe na hela usiwe nazo ila ukiyakubali na ukaishi kwa kufuata sheria za Mungu am waiting for the Christmas gift, you want death kweli maisha hayafanani, anyway if you decide to die wish you happy Christmas in heaven

Sent from my LDN-L01 using JamiiForums mobile app
 
Unamuomba mungu akuchukue acha Kumsumbua na maombi yako ya kipuuz. We mwenyew unaweza ukachukua sumu ukanywa kama unataka kufa
 
Mungu akutie nguvu mama...yote ni mapito yana mwisho wake usikate tamaa...
 
Hata kuomba kifo ni dhambi pia,ila yupo anayejua mwisho tangu mwanzo si mwingine ila ni MUNGU MUUMBAJI nakusihi muulize atakupatia majibu ya mwisho wako na ukumbuke Biblia inasema omba bila kukoma.
 
haijalishi nini kimekukuta ama ugum upi unaupata katika maisha ila amini bado unanafasi katika jamiii, familia na mbele za muumba wako don give up coz mungu hamtupi mti mwenye dhamira ya kweli

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Sweetheart let me tell you something.
YOU ARE NOT ALONE ON THIS.
I went through hell on earth .
I almost gave up but God is Great
Please Don't give up. Hakuna struggle isiokuwa na mwisho. If you hold on you will Prevail. Trust me.

If you choose to give up wewe ndio utakuwa looser and nobody else.
GOD NEVER created you to LIVE like that.
He is testing you. and see .that's all.

Ukisikia story yangu may be utasema zako ni afadhali sana.

Meet me on my inbox and I will give you some amazing tales.
 
Sikia nikwambie kitu kizuri rafiki.....! Maisha tunayoishi wanadamu sisi wenyewe ndio tunaamua yaweje, either yawe yenye furaha,upendo,amani, afya na raha mustarehe. Au yawe yenye huzuni,kutojiamini,mfadhaiko,upweke na maumivu.

Sasa wewe kwa kutokujua umejikuta umechagua upande wa mabaya, yawezekana unalipa mabaya uliyoyafanya nyuma sasa law of karma inakuadhibu.

Lakini habari njema ni kwamba unaweza kuirudisha furaha, amani, upendo, kujiamini kuliko potea. Unafanyaje sasa? Twende taratibu hahahaha....

Ni hivi ubongo wa binadamu umegawanyika katika sehemu kuu 2....! Conscious mind na subconscious mind.

Sasa huyu bwana conscious mind yeye ni kama captain wa meli yeye ndio anaona kilicho mbele na ndio anampa taarifa na muongozo injinia aliyoko ndani, ambaye ni subconscious mind...! Sasa endapo captain atamwambia injinia kata kulia hata kama Kuna barafu yeye atafuata hivyo hivyo....! Kila unachokiona, kila unachofikiri, kila unachoamini, kila unachotamka kinachukulia na conscious mind kinapelekwa kwa subconscious mind, ambaye ndio analeta matokeo sasa

Subconscious mind yako ina uwezo mkubwa sana, ina uwezo wa kukupatia chochote kile unachokita endapo utaiomba kwa unyenyekevu na kuiamini...! Kinachokuponza wewe umekua mtu wa kujiwazia mabaya tu, hivyo unachowaza ndio hicho subconscious inakuletea.....!

Sasa kuanzia leo anza kufanya yafuatayo na utakua mtu kama wengine utakua ni mwenye furaha kuliko.....! Andika kwenye karatasi yafuatayo
1.subconsious mind yangu inajua kila kitu, ina uwezo usio na mwisho wala kifani imenifanya kuwa ni mwenye furaha,
2.mimi ni mwenye amani ya moyo.
3.mimi najiamini sana.
4.mimi ni mwenye upendo na ninapendwa na kila mtu.
5.mimi na furahia sana kuishi katika hii dunia iliyo nzuri na baraka tele. Tamka maneno hayo kila siku kabla ya kulala na baada tu ya kuamka asubuhi, kwa unyenyekevu na uiaminishe subconscious mind yako kuwa hayo uyasemayo ni kweli. Nakuhakikishia baada ya siku 21-40 ukitamka maneno hayo kwa utaratibu niliokwambia utakua mtu mwingine kabisa...!

Na kamwe usijiwazie mabaya hata kidogo maana yatakutokea kweli, always think positive....! Ni ujinga kuamini kitu kinachokudhuru.....

Amini amini amini nakwambia nawe utaponyeka.... hakuna aliyezaliwa aje kuteseka, wote tumezaliwa Kuja kufurahia maisha. Ila Kuna watu wanashindwa kufahamu uwezo mkubwa walionao ndani yao, mwisho wake wanaishia kupata shida na taabu kama mtoa thread. Subconscious mind yako ina majibu yoote yanayokusumbua ila tu wengi hawajui jinsi ya kutumia uwezo huo, wenzetu wazungu siri hizi walizijua mapema ndio maana shida shida hizi wao haziwapati.....!

Nikutakie kila la kheri
Fact.
Mkuu uliyoyaongea hapo. Mimi sina cha kuongeza. I just wanna say Thank you.

Big up.
 
Ushauri mis eve,Jaribu kutengeneza marafiki wapya kila siku,hama sehemu unayoishi,kama kazi ni kikwazo achana nayo,hiyo milioni mbili utafungua stationary tegeta au mpesa/tigo pesa Mbezi utapata hela sawa na mshahala wako!!

Kuanzia sasa acha kufikiri kuhusu mambo ya zamani fikiri mambo mapya,marafiki wapya na sehemu mpya! Kusali sana haisaidii kama bado unasali na watu wale wale!




Sent from my SM-N910P using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha kwa maandiko yako inaonesha uliharibu ndoa ya mtu.

Sasa krismasi ulitamani uwe nae kakutosa, kaona mchepuko hauna maana.

Dhambi ya uzinzi ni mbaya sana.

Kafanya mema sana kukutosa kwani ungesherehekea krismasi ungeongeza dhambi .

Sasa tumia fursa hiyo, njoo katika Uislam ujisalimishe kwa Allah na uondokane na hayo mambo ya kidunia.
Dada Faiza Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatuh.

kumcheka mtu anaekata tamaa so sahih ukhti.
. huyu anahitaji maneno laini yenye Rehma ndungu yangu ktk Imani.
 
Hv ninyi mnao taman kufa eti kwa dhiki za kidunia hamjui kama kuna maisha baada ya kifo na maisha hayo hutegemeana na matendo yako ulio ishi hapa dunian sa kama tendo lako la mwisho ulilo ondoka nalo hapa dunian ni kuua nafsi yako bila kutubu naww ukafa utaiweza dhiki ya maisha ya kaburn na maisha baada ya kufufuliwa. Hebu achen ujinga suluhisho la changamoto sio kuzikimbia
 
Dada Faiza Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatuh.

kumcheka mtu anaekata tamaa so sahih ukhti.
. huyu anahitaji maneno laini yenye Rehma ndungu yangu ktk Imani.
Mkuu umeongea kwa hekima ya hali ya juu. Barikiwa!

Mama yetu huyu hekima zake zinapungua siku baada ya siku..ni utu uzima(labda) unamwandama. Tumvumilie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom