Nimechoka sana na maisha

Nimechoka sana na maisha

Ukapumzike wapi ? unajua unakoenda? weeeeewe weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeewe!
 
Pole sana. Ila omba sana aisee..mauti yanauma sana na usiyatamani hata siku moja !!!!
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.

Above is the main point yenye inakukosesha raha na amani.
Can you please explain kidogo kuhusu hiyo Karma that you created your self year's back....??
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
And..... If you believe that life is always fair and designed to be only a joyful ride, think again. If you expect that life owes you something, you may be setting yourself up for massive disappointment. That’s because life can sometimes be quite unfair. It will throw curveballs at you and will confront you with obstacles that seem larger-than-life. It is also possible that you will encounter stages of life during which trials and tribulations will rain down upon you. During these difficult times, it simply takes a lot of hope and encouragement to keep going. It’s that little spark of hope that motivates you to see things through – no matter how difficult it gets. In fact, hope is possibly the most important factor when it comes to overcoming the great challenges of life. For this reason, we’ve created a huge collection of powerful help quotes. These are the brilliant quotes about hope that will help you to keep going even then the going gets tough.
 
Sikia nikwambie kitu kizuri rafiki.....! Maisha tunayoishi wanadamu sisi wenyewe ndio tunaamua yaweje, either yawe yenye furaha,upendo,amani, afya na raha mustarehe. Au yawe yenye huzuni,kutojiamini,mfadhaiko,upweke na maumivu.

Sasa wewe kwa kutokujua umejikuta umechagua upande wa mabaya, yawezekana unalipa mabaya uliyoyafanya nyuma sasa law of karma inakuadhibu.

Lakini habari njema ni kwamba unaweza kuirudisha furaha, amani, upendo, kujiamini kuliko potea. Unafanyaje sasa? Twende taratibu hahahaha....

Ni hivi ubongo wa binadamu umegawanyika katika sehemu kuu 2....! Conscious mind na subconscious mind.

Sasa huyu bwana conscious mind yeye ni kama captain wa meli yeye ndio anaona kilicho mbele na ndio anampa taarifa na muongozo injinia aliyoko ndani, ambaye ni subconscious mind...! Sasa endapo captain atamwambia injinia kata kulia hata kama Kuna barafu yeye atafuata hivyo hivyo....! Kila unachokiona, kila unachofikiri, kila unachoamini, kila unachotamka kinachukulia na conscious mind kinapelekwa kwa subconscious mind, ambaye ndio analeta matokeo sasa

Subconscious mind yako ina uwezo mkubwa sana, ina uwezo wa kukupatia chochote kile unachokita endapo utaiomba kwa unyenyekevu na kuiamini...! Kinachokuponza wewe umekua mtu wa kujiwazia mabaya tu, hivyo unachowaza ndio hicho subconscious inakuletea.....!

Sasa kuanzia leo anza kufanya yafuatayo na utakua mtu kama wengine utakua ni mwenye furaha kuliko.....! Andika kwenye karatasi yafuatayo
1.subconsious mind yangu inajua kila kitu, ina uwezo usio na mwisho wala kifani imenifanya kuwa ni mwenye furaha,
2.mimi ni mwenye amani ya moyo.
3.mimi najiamini sana.
4.mimi ni mwenye upendo na ninapendwa na kila mtu.
5.mimi na furahia sana kuishi katika hii dunia iliyo nzuri na baraka tele. Tamka maneno hayo kila siku kabla ya kulala na baada tu ya kuamka asubuhi, kwa unyenyekevu na uiaminishe subconscious mind yako kuwa hayo uyasemayo ni kweli. Nakuhakikishia baada ya siku 21-40 ukitamka maneno hayo kwa utaratibu niliokwambia utakua mtu mwingine kabisa...!

Na kamwe usijiwazie mabaya hata kidogo maana yatakutokea kweli, always think positive....! Ni ujinga kuamini kitu kinachokudhuru.....

Amini amini amini nakwambia nawe utaponyeka.... hakuna aliyezaliwa aje kuteseka, wote tumezaliwa Kuja kufurahia maisha. Ila Kuna watu wanashindwa kufahamu uwezo mkubwa walionao ndani yao, mwisho wake wanaishia kupata shida na taabu kama mtoa thread. Subconscious mind yako ina majibu yoote yanayokusumbua ila tu wengi hawajui jinsi ya kutumia uwezo huo, wenzetu wazungu siri hizi walizijua mapema ndio maana shida shida hizi wao haziwapati.....!

Nikutakie kila la kheri
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Pole, fanya maombi ya toba mbele za Mungu , Mungu ni mwenye huruma , atakusamehe na kukuondolea shida zote , pia ujitahidi usome neno la Mungu.
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
usihuzunike,usiogope dada, jipe moyo utashinda, usiogope kutengwa na binadamu Mungu hajakutenga ,tafuta viongozi unaowaamini kanisani watakushauri vema.
do not loose hope on your future! .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom