Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 429
- 329
- Thread starter
- #321
TAMISEMI hamsikii kilio chetu mtueleze hatima yetu kuliko kututesa kisaikolojia kiwango hiki
Broo, kumbe wewe humtambui adui yako? Tamisemi wako chn ya mkulu, hvo anaepaswa kutuweka wazi ni mkulu, maana yeye ndie alisitisha, pia nashangaa muda wa tamko kupita still yuko kimya.TAMISEMI hamsikii kilio chetu mtueleze hatima yetu kuliko kututesa kisaikolojia kiwango hiki
Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
hii kweli mkuu imetoka leo?
Hivi facebook inaweza kutumika kama chanzo cha habari cha kuaminika kushinda JF?hii kweli mkuu imetoka leo?
NdioHivi facebook inaweza kutumika kama chanzo cha habari cha kuaminika kushinda JF?
Safi kwa kufahamu ukweli ....ila hilo jina mkulu unamficha sana sema [HASHTAG]#Raisi[/HASHTAG] inabidi ajitambue ata yeye alikuwa Mwalimu ....siyo ajifanye hajui alichoahidi .....hivi sasa anakula kuku kwa mrija masikini chao ni ahadi tu....kweli bora tungebakia Misri kuliko kuelekea Canaan..Broo, kumbe wewe humtambui adui yako? Tamisemi wako chn ya mkulu, hvo anaepaswa kutuweka wazi ni mkulu, maana yeye ndie alisitisha, pia nashangaa muda wa tamko kupita still yuko kimya.
sitaki kuamini kama ukweli hawaujui kuwa ajira zinatoka lini. Kwanini wasiwe wawazi tu na kuitanabaisha jamii kuwa ajira zitatoka siku fulani! Jamani maisha magumu sana kwa kweli. Halikuwa kosa letu kusoma ualimu kwa kuwa tumeitikia wito. Kwa nini tunateseka hivi? Kila siku afadhali ya jana! wazazi na ndugu wanapoteza imani na sisi kuwa labda mambo hayakuwa vizuri chuo. Wengine wameshaanza kuweka vizingiti kabisa. Jamani ishi maisha yote lakin maisha ya kumtegemea ndugu ni magumu sana. Famili zetu za kiafrika zinajulikana. Ukikosa hela mambo hayaendi.
Rais wetu tafadhali baba kuwa na huruma tuajiri baba. Imetosha tumenyooka. Hakutakuwa na uhewa hewa wowote baba. Tunakuomba. Nasema kwa uchungu mchana maana hapa nilipo sina hata uhakika wa kula mchana huu nikaona bora tu nitoe maombi haya.
kijana jifunze kubuni ajira he ukisikia serikali imefilisika utajiua?Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui